Unajua ki msingi sound bar wali design haswa kwajili ya output ya flat tv…Hivi zinakuaga na mziki mziko kama ule wa ule wa gari?
Picha mkuu..Jaribu na evoli naitumia. Inajitahidi. Watts 320.
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji1787]
mkuu umetumia cha wapi kwani leo[emoji23]
Watu wa android hamjawahi kuwa serious 😂Naweza kukipata playstore?
dah mwamba funza utamjuaje kwamba huyu ni jike na huyu ni dume ahahInauzwaje na ina Watts ngapi? Nielekeze niichukue mie uwa nafagilia sana brands mpya sokoni uwa wanatoa vitu bora sana.
Juzi kati nilijilipua fridge kubwa double door lenye water dispenser aina ya MAK kutoka Uturuki na linapiga kazi mwanzo mwenga
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Umeongea la maanaSony zamani siku hizi wanalipua tu muziki ni JBL na BOSE
Kampuni ya mmarekani watengenezaji wachina kama wanaubia hiviNi mmarekani huyo
Ina mdundo mzuriJaribu na evoli naitumia. Inajitahidi. Watts 320.
Average. Kwangu ni zaidi maana nilikua natumia TV direct.Ina mdundo mzuri
Average. Kwangu ni zaidi maana nilikua natumia TV direct.
Base inakuwepo lakiniAverage. Kwangu ni zaidi maana nilikua natumia TV direct.
In Bass ya kutosha, pia*setting ya bass yake una'adjust unavyotaka mwenyewe.Base inakuwepo lakini
Evoli ni shngp watts 320In Bass ya kutosha, pia*setting ya bass yake una'adjust unavyotaka mwenyewe.