Totos Boss
JF-Expert Member
- Dec 30, 2012
- 5,456
- 1,567
Wana jamvi amani iwe kwenu na watanzania kwa jumla.
Mwanangu ana umri wa miaka 3 na mienzi 4 anatatizo la kua hataki/hapendi kula. Nimejaribiu hospitali amemaliza dozi lakini bado, nahitaji kama wataalamu mnazifahamu dawa za kienyeji/miti shamba kwa tatizo hili mnifahamishe.
Natanguliza shukurani kwenu.
Mwanangu ana umri wa miaka 3 na mienzi 4 anatatizo la kua hataki/hapendi kula. Nimejaribiu hospitali amemaliza dozi lakini bado, nahitaji kama wataalamu mnazifahamu dawa za kienyeji/miti shamba kwa tatizo hili mnifahamishe.
Natanguliza shukurani kwenu.