Mzeja nikukabidhi mil 30 usimamie uje zi basi pale kwenye kiwanja changu.Inawezekana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzeja nikukabidhi mil 30 usimamie uje zi basi pale kwenye kiwanja changu.Inawezekana
Inawezekana nikabidhi hiko kibunda uwe baba mwenye nyumbaMzeja nikukabidhi mil 30 usimamie uje zi basi pale kwenye kiwanja changu.
Na wee pay yako ya usimamizi million ngapi?Inawezekana nikabidhi hiko kibunda uwe baba mwenye nyumba
Kwa kuwa wewe mwanangu nipe 5mlnNa wee pay yako ya usimamizi million ngapi?
Mshahara wa mwaka mzima wa secretary mzeya....nimeshindwaKwa kuwa wewe mwanangu nipe 5mln
Mzeiya hiyo ni kuanzia msingi hadi nakukabidhi funguoMshahara wa mwaka mzima wa secretary mzeya....nimeshindwa
Sasa kwani nyumba wasimamia mwaka mzima shekhe...sii miezi miwili au mitatu nyumba lwishneyMzeiya hiyo ni kuanzia msingi hadi nakukabidhi funguo
Watu kujenga wanaona utani ujue, hebu waanze halafu ndio waje hapa watupe mchanganuoHio hela inatosha kupanga matofali na si kujenga mkuu😂😂😂
Ni nomaWatu kujenga wanaona utani ujue, hebu waanze halafu ndio waje hapa watupe mchanganuo
Nyumba sio mchezo kwa kwel.Watu kujenga wanaona utani ujue, hebu waanze halafu ndio waje hapa watupe mchanganuo
Majirani walikufanya niniLabda kwa ajili ya familia sio majirani sipendi majirani
UnawezaWakuu.
Hivi kwa milioni 26 za Kitanzania unaweza kujenga nyumba ya vyumba viwili, sitting room, jiko na choo na ikaisha full kuhamia?
Yaani ni balaa! Kuna jamaa alienda na fundi kununua nyaya za umeme alipigwa na kitu kizito nyaya zote 1.5 na 2.5 aliuziwa kwa bei linganifu 100,000/= na alichukua za kutosha mwisho wa siku akafanya uchunguzi kwenye maduka akagundua 1.5 ilikuwa inauzwa kwa range ya 50000/= hadi 55000/=. hapo keshapigwa.Ila usimamie mwenyewe pia upate connection ya kununua material kwa bei nzuri. Town usipokuwa makini mafundi na mawinga ni shida
Mimi sio fundi ila kwa uzoefu naona utafikia hatua nzuri na vitabakia vitu vichache sana. Kwa makadirio yasiyo rasmi ukiwa na hesabu hiyo utaweza:-Wakuu.
Hivi kwa milioni 26 za Kitanzania unaweza kujenga nyumba ya vyumba viwili, sitting room, jiko na choo na ikaisha full kuhamia.