Deontic
Member
- Aug 26, 2020
- 14
- 7
Vifaranga wangu 20 wa miezi miwili wanatoa kinyesi laini cheupe na wanakosa nguvu ya kusimama, miguu inalegea pia wamezubaa, naombeni ushauri ni dawa gani inafaa niwanusuru , maana mpaka sasa kafa mmoja na watano wanahali mbaya hawali kabisa, pia wanatoa kinyesi chenye maji maji.
View attachment 2348634
View attachment 2348634