hip hop uchwara
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,616
- 1,282
Asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Broo unakuja Dubai kula bata au unakuja kufanya biashara ?Habari wakuu,
Naplan kwenda Dubai December, tuko watu 3.
Naitaji msaada wa watu ambao wanauzoefu na safari za Dubai
Napenda kujua ishu za nauli, Visa, Malazi na kwenda kule kwenye jangwa.
Kwa yeyote ambae anajua hizi mambo please naomba msaada wa information zote.
Mimi nitakuja kukaa gheto kwa kwelii💕Broo unakuja Dubai kula bata au unakuja kufanya biashara ?
Ukitaka kuka ghetto yapo uikitaka hotel zipo burget yako tu .
Viza ni 100$
Air TZ 400$ plus go and return .
Ukita more info niandikie private.
Hahaaa just joke hoteli ni uwezo wako tu kaka.Ukifika air just unachukua tax atakupeleka kwenye hoteli yako.Mimi nitakuja kukaa gheto kwa kwelii💕
Naomba nifugue Uzi wako MtaalamAkodi Bed spaces maana chumba gharama akiwa na 1,000,000 malazi na chakula will help him, alafu akiwa na 2000,000 ya kuwazungusha mizinguko mbali mbali kwa per tandu itasaidia
Mwisho kabisa ni Ticket kata ya waafrika japo utasafiri na Unga wa Oboloka wa wa Nigeria haha Ethiopia airlines iko cheap Kama 450$ each go and return ticket
Visa ya week mbili ni 100$ Kama mwezi ni 150$ mpaka miezi 3 kwa kila mtu!!
Ukiwa una shughuli maalumu inayotambulika inakuwia rahis sana kwako kupata visa maana Ma agents wa visa watakusaidia sana kwa confidence bila kuogopa kwamba utakimbia nchi wafungiwe shughuli zao au u overstay walipishwe fine!!!
Ukiwa na 7M mnaenda na kurudi Ila Kama ni mtu wa bajet sana hata 4M inatosha
Air Tanzania anafika Dubai?Broo unakuja Dubai kula bata au unakuja kufanya biashara ?
Ukitaka kuka ghetto yapo uikitaka hotel zipo burget yako tu .
Viza ni 100$
Air TZ 400$ plus go and return .
Ukita more info niandikie private.
Mzee Baba upo mkoa gani Air Tz inakuja DXb na Bongo na nzuri sanaaa.Air Tanzania anafika Dubai?
Nakuja Dubai kutembea nitakaa geto kwa kweliBroo unakuja Dubai kula bata au unakuja kufanya biashara ?
Ukitaka kuka ghetto yapo uikitaka hotel zipo burget yako tu .
Viza ni 100$
Air TZ 400$ plus go and return .
Ukita more info niandikie private.
Pesa yako tu.Nakuja
Nakuja Dubai kutembea nitakaa geto kwa kweli
Usihofu, ChristmasPesa yako tu.