Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo PM chapu ni kupe namba ya mtaalamu wa miti shamba, hautajutia na ulete mrejesho hapa na useme ulipo.Salaam kwenu,Naomba msaada wa kujua dawa ya maumivu ya meno kwa mtoto mwenye umri wa miaka mitano. Nimtoto wajirani yangu amekuwa halali na amevimba shavu kabisa. Jino ni la upande wa chini mwisho.
Sipingi Mkuu..bali iki mpendeza anifuate tu PM , hatojutia na halitang'olewa..Nimeokoa la kwangu majuzi kati tu hapa.Watu wana Karama zao, dawa ya unga, unabwia mudomoni bila hata maji mate yanajaa na povu kama lote..unakuwa unasukutua tu na kutema.Jino nikawa ninalisikia linajipanga lenyewe utadhani kuna mtu kinywani analiseti upya.Nilistaajabu sana.Ni Elfu 10 tu..dozi siku 7 .Mtu wa watu hana mambo mengi.Usipo tilia maanani dozi humalizi...Maana maumivu ile siku ya kwanza tu, yanapungua mno..Mkuu ampeleke hospitali mara moja!
Nimekufata mkuuNjoo PM chapu ni kupe namba ya mtaalamu wa miti shamba, hautajutia na ulete mrejesho hapa na useme ulipo.
Mkuu ampeleke hospitali mara moja! I'm
Asante mkuu,japo wanadai hospital mara nyingi suluhisho la tatizo la meno ni kung'oa tuMkuu ampeleke hospitali mara moja!
Akiiamka asubuh mkojo wake wa Kwanza aukinge asukutulie mdomoniSalaam kwenu,Naomba msaada wa kujua dawa ya maumivu ya meno kwa mtoto mwenye umri wa miaka mitano. Nimtoto wajirani yangu amekuwa halali na amevimba shavu kabisa. Jino ni la upande wa chini mwisho.
Afanye hivi kwa siku ngapi Miss? Na tiba hii inaweza tumika kwa mtu mzima pia?Akiiamka asubuh mkojo wake wa Kwanza aukinge asukutulie mdomoni
Asante San mkuu kwa ushauri mzuriClinic za meno sikuizi ziko nyingi usitafute njia za panya wato wengi wanapata hii shida kitaalam inaitwa Dental caries kwa sababu ya matumizi ya pipi na vita vya sukari sukari hivyo jitahidi umpeleke hospital mapema asije kupata jibu la jino( Dental abscess)View attachment 3053313View attachment 3053314
Sawa mkuuHii nimeitoa huko kwenye group la tiba Asili unaweza kujaribu pia
View attachment 3053316
Nimeona Mkuu..tayari nimekutumia..Mpe pole mgonjwa.Num
Nimekufata mkuu
Asante mkuu,japo wanadai hospital mara nyingi suluhisho la tatizo la meno ni kung'oa p
Nasisitiza peleka mtoto hospitaliSalaam kwenu,Naomba msaada wa kujua dawa ya maumivu ya meno kwa mtoto mwenye umri wa miaka mitano. Nimtoto wajirani yangu amekuwa halali na amevimba shavu kabisa. Jino ni la upande wa chini mwisho.
Huyo mtoto Anaweza Kuwa Na Dental.Abscess kama kafikia Kuvimba mpaka Shavu..Mpeleke hospital kwa matibabu na ushauri zaidi DR Mambo Jambo .
Asukutue mpaka litakapoacha kuuma Ila Kwa experience hata siku 4 hazifiki unakuta limeponaAfanye hivi kwa siku ngapi Miss? Na tiba hii inaweza tumika kwa mtu mzima pia?