Msaada kwa watumiaji wa computer au walio somea information and technology ( IT)

Msaada kwa watumiaji wa computer au walio somea information and technology ( IT)

Kama una smartphone,

Tumia WhatsApp web.
apana smart phone nliyo nayo ni mizinguo nnatumia kama wifii coz nnatumia nokia lumia af kuna baadhi ya application walizitoa ikiwemo whatsup
 
nimesha downlod ila naona ime bezii san san kwenye gem.
Baada yaku downlod bluestalk kwenye desktop zimekuja mbili nikifungua ina andika [you may experience slow performance with blue stalk to the low available ram pleaseclosing some prograns continue
 
du mkubwa kweli wewe sio mtundu kabisa kifupi usishindwe kujifunza vitu vipya kwa hofu ya kuharibu hako kakomputer kako
 
du mkubwa kweli wewe sio mtundu kabisa kifupi usishindwe kujifunza vitu vipya kwa hofu ya kuharibu hako kakomputer kako
acha majungu mim mwenyewe n mtund unaweza kuta kuliko wew , ila tunazidian uwezo na atuwezi kuwa saw tunafanya kubadilishana mawazo usijione wew ni mkali kuliko mwingine ,,,,,,,,,
 
Mkubwa kubali yaishe una hofu ya kuhalibu hako kalaptop kako ka laki na nusu
umekazarau san mbona umetaja ela yakubadilisha mboga sku moja tukiwa maeneo yakujidaii, hii n mashine kubwa ww labda kam yako y laki na nusu uwezi fananisha na ya washamba wengine apa ndo naamini ule msemo unasem kwenye kundi l mamba kenge akosekanii….
 
mkuu unaonekana ni mvivu sana, ivo vitu ambavyo unauliza na kusubir comments za watu ndo ujue nin chakufanya ni vitu basics sana. Ingia google au youtube na utajifunza zaid ya hayo
 
Back
Top Bottom