Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
- Thread starter
- #41
Hali kama yako ilinikosesha kazi sehemu nyingi sana, nikiingia kwenye interview nilikua natetemeka nusu kufa.. jamaa wakiangalia vyeti nilivopasua wanashangaa ile mbaya
nikaanza kwenda shule flani flani nawafundisha watoto..
kwa sasa naweza kuhutubia hata watu 500 bila kuogopa.. pia ni muongeaji mzuri..nimekua kiongozi sehemu mbalimbali.. ndugu utakosa fulsa.. jitutumue.. tatizo ni kulelewa na wazazi wababe.. mimi baba yangu alikua mtu wa ajabu sana.
Unayosema ni kweli.
Upande wa wazazi hasa baba alikua mkali sana!