Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
- Thread starter
- #21
malipo yana mudu kulipa bills na kusave kiasi( pesa madafu)Hizo kazi hua zipo tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
malipo yana mudu kulipa bills na kusave kiasi( pesa madafu)Hizo kazi hua zipo tu.
Kazi yeyote ughaibuni ambayo siyo rasmi.( Day worker)Habari zenu wa kuu.
Naomba nisiwachoshe, kunajambo nataka kulijua maana nimekua nikilisikia kwa muda mrefu kutoka kwa wenzetu waliopo ughaibuni, kuwa kazi ambayo ni kimbilio kwa wanaoingia nchi za ulaya na malekani.
Wakuu eeeh kubeba box ndio kazi gani au ya aina gani. wakuu fungueni code.
Wewe na akili yako tu mkuu,kila kitu kinawezekana.malipo yana mudu kulipa bills na kusave kiasi( pesa madafu)
[emoji23][emoji23][emoji23] pesa ya bongo haina thamaniNi kazi za hovyo hovyo, haziitaji elimu , kuonesha wazungu, kupakua mizigo ulaya, kufagia, kuuza bar, kupanga mizigo supermarket, kulisha mifugo.
Kiulaya ulaya ni pesa ndogo Ila kibongo ni kitita
graduate wa bongo asie ijua kesho yake(anaeishi kwa shemejiye )VS mbeba box.Kazi yeyote ughaibuni ambayo siyo rasmi.( Day worker)
(.cheap labourer)
Mfano.
Kufagia.
Kufanya kazi za shamba.
Garden.
Kubeba mizigo.
Kukata miti..
mwenye ABC za kufika mbele na kuanza kubeba box aweke hapa tujue tunaanzia wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
kipindi hiki ndio rahisi sana kufika, kulinganisha na zamani.Shida kuifikia hiyo marekan,na korona hii
Graduate wa bongo anahitaji maombi kwa kwl.graduate wa bongo asie ijua kesho yake(anaeishi kwa shemejiye )VS mbeba box.
unadhani yupi anaitaji maombi?
Shukrani mkuuHivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?
Wasalaam wanajamvi. Jamani kuna jambo linanifikirisha kwa muda sasa, hivi kuna uhusiano wowote kwa vijana wa makamo wanaorudi toka ughaibuni na kufeli maisha? Nimekutana na case Kama tatu hivi ambazo zimenivuruga kichwa. Nitazielezea kiufupi. 1. Katika hekaheka za humu duniani nilikaribishwa...www.jamiiforums.com
sasa mkuu mbona vitu unavyovilinganisha havina uhusiano.graduate wa bongo asie ijua kesho yake(anaeishi kwa shemejiye )VS mbeba box.
unadhani yupi anaitaji maombi?
Let me start the processkipindi hiki ndio rahisi sana kufika, kulinganisha na zamani.
Wewe naona umepita mlango wa nyuma kuja kusimanga watu hapagraduate wa bongo asie ijua kesho yake(anaeishi kwa shemejiye )VS mbeba box.
unadhani yupi anaitaji maombi?
Don't take it personally 😂🤣😂Wewe naona umepita mlango wa nyuma kuja kusimanga watu hapa
Kila mtu ni mtumwa, aidha kwa mwajiri wako ama wateja wako.Biashara ya utumwa ambayo inayoendelea huko ughaibuni..wameibadilisha jina kidogo tu
Kila mtu ni mtumwa, aidha kwa mwajiri wako ama wateja wako.