Mr Suprize
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 869
- 961
Jambo wadau,
Naomba nipate mawazo yenu juu ya hii biashara ya kutuma na kupokea pesa kwa njia ya mitandao ya simu nataka nianze kufanya hii biashara, naomba nijue faida Inapatikanaje.?
Naomba nipate mawazo yenu juu ya hii biashara ya kutuma na kupokea pesa kwa njia ya mitandao ya simu nataka nianze kufanya hii biashara, naomba nijue faida Inapatikanaje.?