Msaada mabasi ya kwenda Arusha toka Dodoma

Msaada mabasi ya kwenda Arusha toka Dodoma

jeffmichael

New Member
Joined
Dec 20, 2022
Posts
1
Reaction score
0
Naomba msaada kujua mabasi ya kwenda Arusha, nilikuwa napanda Shabiby na yamejaa mpaka tarehe 26, binafsi nataka safiri kesho mchana tarehe 21.
 
Kidia One
Kidia one imejaa mpaka tarehe 25 kwa kifupi magari yote yamejaa isipokuwa kidia one ya Nairobi ambayo unakata tiketi kwa 60,000 TSH.

Kukusaidia nenda shekilango kuna coster nyingi tu za Arusha/ Moshi
 
Naomba msaada kujua mabasi ya kwenda arusha, nilikuwa napanda shabiby na yamejaa mpaka tarehe 26, binafsi nataka safiri kesho mchana tarehe 21.
Napendekeza hizi kwa kufuata ubora na idadi ya magari
  1. Machame (Saa 12, Saa 2 na Saa 7)
  2. Arusha Express
  3. Ngasere
Kuna mengine ukienda Area C utayapata tu akina MJ n.k
 
Kidia one imejaa mpaka tarehe 25 kwa kifupi magari yote yamejaa isipokuwa kidia one ya Nairobi ambayo unakata tiketi kwa 60,000 TSH.

Kukusaidia nenda shekilango kuna coster nyingi tu za Arusha/ Moshi
Mtu huyo Dom
Nairobi inakujaje?

Na huko Shekilango vipi?

Msomage nyuzi kabla ya kuandika.
 
Hahaa kwanini jamani, au hilo jina lake
Kuna wakati nilipandaga la Dar to Arusha
Saa 12 jioni ikagonga ndo tuko Usa River

Basi tokea hapo nalichukukia
Hata ukitaka kunitumia parcel ukanambia uende Machame nakukataza


Parcel nawapenda BM
Kusafiri Kidia
 
Kidia one imejaa mpaka tarehe 25 kwa kifupi magari yote yamejaa isipokuwa kidia one ya Nairobi ambayo unakata tiketi kwa 60,000 TSH.

Kukusaidia nenda shekilango kuna coster nyingi tu za Arusha/ Moshi
shekilango tena !, Naa ajambo ?
 
Kuna wakati nilipandaga la Dar to Arusha
Saa 12 jioni ikagonga ndo tuko Usa River

Basi tokea hapo nalichukukia
Hata ukitaka kunitumia parcel ukanambia uende Machame nakukataza


Parcel nawapenda BM
Kusafiri Kidia
BM wako poa sana

Kuna mtu alipanda hilo toka Arusha to Dar, hiyo siku alikosa BM alipofika ni alilalamika balaa.
Ila pia ukizoea basi flani siku ukabadili lazima tu uone kasoro
 
Back
Top Bottom