Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Mkuu Asante sana Kwa mawazo haya.Mungu akubariki
Zingatia hayo mkuu. Pole.
Pia usipende kuweka simu mwanga mkali. Jaribu kuiseti kwa kiwango cha kati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Asante sana Kwa mawazo haya.Mungu akubariki
Miwani ninayo lakini nayo inegoma sasa.Shida Niko polini hadi nirudi mwanza ua dar kupata huduma..ila nimeeleza hali halisi ya sasaUna matatizo ya macho. Nenda kamuone dr wa macho kama kuna umuhimu bila shaka utapata miwani. Achana na ushauri wa huku, matibabu hutolewa baada ya dr kumfanyia mgonjwa diagnosis.
Asante sanaZingatia hayo mkuu. Pole.
Pia usipende kuweka simu mwanga mkali. Jaribu kuiseti kwa kiwango cha kati
Ngoja nitest
Mkuu miwani nayo kuna wakati inafanyiwa ''update'' hasa kama tatizo lako la macho limezidi. Ukipata nafasi nenda ukapimwe tena. CCBRT nadhani kuna wataalam wazuri hasa kwa walio Dar. Kwa maelezo yako inaonyesha tatizo lako linataka miwani. Kuna wakati kila jicho linakuwa na tatizo lake hivyo wanakupa miwani yenye lensi tofauti kila jicho.Miwani ninayo lakini nayo inegoma sasa.Shida Niko polini hadi nirudi mwanza ua dar kupata huduma..ila nimeeleza hali halisi ya sasa
Miwani nilipewa mwezi wa 11 mwaka janaMkuu miwani nayo kuna wakati inafanyiwa ''update'' hasa kama tatizo lako la macho limezidi. Ukipata nafasi nenda ukapimwe tena. CCBRT nadhani kuna wataalam wazuri hasa kwa walio Dar. Kwa maelezo yako inaonyesha tatizo lako linataka miwani. Kuna wakati kila jicho linakuwa na tatizo lake hivyo wanakupa miwani yenye lensi tofauti kila jicho.
Wewe labda hujaugua,,mishipa ilikuwa inatafuna kama vile umechoma mti machoniKila siku mnaambiwa red eyes msitumie dawa yoyote. Tatizo watu wabishi sana...
Kuna wengine wamekuwa vipofu kwa kutumia tiba za asili
Kweli sijaugua lkn wizara ya afya ilitangaza kwamba hakuna dawa ya red eyes ila kunawa na maji.Wewe labda hujaugua,,mishipa ilikuwa inatafuna kama vile umechoma mti machoni
Hizo dawa nilipewa na Dr kutok BigandoKweli sijaugua lkn wizara ya afya ilitangaza kwamba hakuna dawa ya red eyes ila kunawa na maji.
Madhara ya kutotii ni kama hayo uliyoyapata.
Shukuru Mungu maana kuna wenzako wamekuwa vipofu kabisa