Jembemtaji
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 1,193
- 926
- Thread starter
- #21
Tunapenda kuwapa lakini hela wanayo wao
Wanataka rushwa....wape mpate chenu au endelea kusubiri haki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanataka rushwa....wape mpate chenu au endelea kusubiri haki.
Umepewa hiyo namba wewe kesho ukiamka asubuhi piga hiyo namba kisha eleza tatizo lako mkuu utasaidiwa.Mafao ya ndugu yetu yameingizwa kwenye account ya mahakama ya temeke, ivo tumekua tunazungushwa mpaka tumekata tamaa. File limepotea,mara kalani kafiwa, mara mhasibu yuko likizo, mara kuna kikao yaani ni shida.
Waambie hiyo taarifa mnaipeleka vyombo vya habari wawasaidie , utaona watakavyo fanyia kazi malalamiko yenu wiki haitokwisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mwenye kukusaidia sio mm ndio maana nikakupa hiyo namba ni ya mahakama kitengo maalumu, Piga ueleze Shida yako utasaidika bureMafao ya ndugu yetu yameingizwa kwenye account ya mahakama ya temeke, ivo tumekua tunazungushwa mpaka tumekata tamaa. File limepotea,mara kalani kafiwa, mara mhasibu yuko likizo, mara kuna kikao yaani ni shida.
We jamaa 🙄🙄🙄🙄Tunapenda kuwapa lakini hela wanayo wao
Umepewa hiyo namba wewe kesho ukiamka asubuhi piga hiyo namba kisha eleza tatizo lako mkuu utasaidiwa.
Mkuu mwenye kukusaidia sio mm ndio maana nikakupa hiyo namba ni ya mahakama kitengo maalumu, Piga ueleze Shida yako utasaidika bure
We jamaa [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Ongeeni nao, kwamba hela imeingia milioni kadhaa katika hiyo wachukue chao then wawape zenu, hivyoooo
Fanya j3 mkuuSawa kaka nitapiga kesho .
Mambo ya mirathi hayo, mahakama huyasimamia.Kwanini mafao yawekwe kwenye account ya mahakama na sio ya mhusika?
Fanya j3 mkuu
Waongee nao ili iweje? Wanalipwaje pesa kwa kutimiza wajibu wao?We jamaa 🙄🙄🙄🙄
Ongeeni nao, kwamba hela imeingia milioni kadhaa katika hiyo wachukue chao then wawape zenu, hivyoooo
Ni utaratibu ikiwekwa hela kwenye acc ya mtu anaweza kuwazulumu wengineKwanini mafao yawekwe kwenye account ya mahakama na sio ya mhusika?
Kwani hao wafanyakazi wa hiyo Mahakama ni warithi pia hadi nao wapewe fungu lao!? Umasikini ni kitu kibaya sana,unakufanya unakua na rohoo ya chuki hadi unakua hutaki kuona ya wenzako yanaenda bila shida, mwenye haki yake apewe na wala haina haja ya kumcheleweshea!!We jamaa [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Ongeeni nao, kwamba hela imeingia milioni kadhaa katika hiyo wachukue chao then wawape zenu, hivyoooo