Msaada: Mafao yameingia kwenye account ya mahakama ya wilaya Temeke, tumezungushwa mpaka tumechoka

ni lazima pesa iingie kwanza kwenye account ya mahakama ili kuthibitisha kama mafao yake aliyefariki yamelipwa ipasavyo alafu baada ya hapo ndio zinaingizwa kwenye account mliyofungua, yaan hata msiwe na wasi wasi hata kwangu mimi kwa mzee wangu ilikuwa hivyo na pesa zenu mtaingiziwa na hakuna hata mia itakayoliwa na mahakama kwahiyo kuwa na amani tu [emoji1431]
 
Nenda Tume ya Haki za Binadamu pale jirani na Ikulu...
 
Nenda kwa Hakimu Mfawidhi
 
Nenda Kwa JOkate

Beba waandishi wa habari ili aandikwe akifanya mamuzi mazuri

thanks me later
 
Bullshit
 
😂😂😂

Mkuu mimi sio mtaalam wa sheria kabisa.

Ila nashauri awaone mahakama ya wilaya ama ya mkoa watamsaidia.

Ikishindikana afanye mtego na TAKUKURU wamshikishe hakimu mlungula.

Hoja zao eti mhasibu amesafiri, mhasibu akisafiri hasafiri na ofisi, karani haendi likizo na ofisi.

Hapo njia ni moja tu, wawashikishe moto wa takukuru.
 
Hongera umempa mwongozo vizuri barikiwa, ye mwenyewe atachagua sasa achukue option ipi.....

Mahakama nadhani ndio sehemu inaongoza kwa kupenda na kuchukua rushwa pamoja na mabango meeengi ya kutokupokea wala kutoa ila jamaa wanapenda rushwa mnoooo tena hawaombi wanalazimisha pmbvv zao sana
 
Nimeitamani sana hii kesi, ingekuwa kwangu ningeshawashikisha za moto hawa mbwiga wa mahakani zamani
 
Nenda kwa Mkuu wa Wilaya Mh Jokate
 
Waambie wasipotoa hadi Oktoba 15,
Unawaachia unaenda kuroga.
Mng'oa kucha njoo uwasaidie hawa ndugu zetu.
 
Elekeza malalamiko yako kwa maelekezo kwenye kiambatisho

 
Mhasibu akiondoka lazima amkaimishe mtu ofisi. Hicho kisingizio ni mfu na hakina mashiko.
 
NENDENI TAKUKURU KAMA MNAMUAMINI MSIMAMIZI WA MIRATHI KUWA HAJAVUTA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…