mike2k
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 1,571
- 3,448
Habari wana JF.
Leo toka asubuhi home sina umeme. Kwenye mida ya saa tano asubuhi Uemme wa Tanesco ulikuwa unakatika na kurudi baadae main switch ikajizima. Sasa kila nikiiwasha bado inajirudi kuzima. Naulizia waataalam wa umeme shida ni nini. Na nifanye nini ili iweze kurudi kawaida?
Leo toka asubuhi home sina umeme. Kwenye mida ya saa tano asubuhi Uemme wa Tanesco ulikuwa unakatika na kurudi baadae main switch ikajizima. Sasa kila nikiiwasha bado inajirudi kuzima. Naulizia waataalam wa umeme shida ni nini. Na nifanye nini ili iweze kurudi kawaida?