Msaada: Maji ukeni baada ya tendo

Wahi hospital inawezekana una magonjwa ya zinaa(PID)
 
Vaginal discharge kama inaambatana na maumivu ya tumbo, Ile pia ikiwa ni yellow discharge kuna uwezekano ikiwa kisonono au magonjwa mengine yanayoendana na hayo. Kwa tanzania tunatumia syndromic approach kutibu. Nenda hospital daktari atakusaidia baada ya kuangalia kuonge wewe akijiridhisha ni discharge inayoendana na magonjwa ya zinaa,tiba yake utapewa ceftrixone/ciproflaxacin sindano then utapewa doxy utatumia siku 7/azithromycin ambayo ni ya siku moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokwa na maji mepesi ya njano ni dalili ya wewe kutopatwa na mimba ukifanya mchezo hutoweza kushika mimba ukihitaji tiba nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia.
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
 
Kweli kuna maradhi kuna kipindi nilienda ofisi fulani tena kubwa yule receptionist mzigo wa hatari alikua anaongea kutumia simu ya kiganjani anasema eti anawashwa sana sehemu ya uke akienda haja na kisha kutumia maji. Mashalaah ulikua mzigo kweli kweli nikaanza waza wazee wa mgodini dah. Marko haya maradhi ni hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…