Msaada Maji ya vitunguu swaumu na mafua

Msaada Maji ya vitunguu swaumu na mafua

Vumbi la congo

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
666
Reaction score
981
Wakuu habari zenu, nimepata katoto kwa uwezo wa Mungu ila namuona anapiga chafya sana.

Nimeambiwa kuwa ndivyo inavyotakiwa apige chafya ila nahofia mwanangu aaije akapata mafua itamsumbua kunyonya, umri wake bado mdogo hata wiki hana, sasa kuna mtu alisema ili kumkinga mtoto dhidi ya mafua mpake maji ya vitunguu saumu kwenye nyayo zake.

Je wakuu hii ni salama kwa mwanangu? Maji haya hayawezi athiri ngozi ya katoto kangu?
 
wakuu habari zenu,,,nimepata katoto kwa uwezo wa mungu,,ila namuona anapiga chafya sana..nimeambiwa kuwa ndivyo inavyotakiwa apige chafya ila nahofia mwanangu aaije akapata mafua itamsumbua kunyonya..umri wake bado mdogo hata wiki hana..sasa kuna mtu alisema ili kumkinga mtoto dhid ya mafua mpake maji ya vitunguu saumu kwenye nyayo zake...je wakuu hii ni salama kwa mwanangu? Maji haya hayawwzi athir ngozi ya katoto kangu?
Naona vumbi la Congo limejibu.
 
wakuu habari zenu,,,nimepata katoto kwa uwezo wa mungu,,ila namuona anapiga chafya sana..nimeambiwa kuwa ndivyo inavyotakiwa apige chafya ila nahofia mwanangu aaije akapata mafua itamsumbua kunyonya..umri wake bado mdogo hata wiki hana..sasa kuna mtu alisema ili kumkinga mtoto dhid ya mafua mpake maji ya vitunguu saumu kwenye nyayo zake...je wakuu hii ni salama kwa mwanangu? Maji haya hayawwzi athir ngozi ya katoto kangu?
Hakuna kitu kama hiyo
 
wakuu habari zenu,,,nimepata katoto kwa uwezo wa mungu,,ila namuona anapiga chafya sana..nimeambiwa kuwa ndivyo inavyotakiwa apige chafya ila nahofia mwanangu aaije akapata mafua itamsumbua kunyonya..umri wake bado mdogo hata wiki hana..sasa kuna mtu alisema ili kumkinga mtoto dhid ya mafua mpake maji ya vitunguu saumu kwenye nyayo zake...je wakuu hii ni salama kwa mwanangu? Maji haya hayawwzi athir ngozi ya katoto kangu?
Yan we jamaa fanya maasiara na afya ya mtoto wako alaf baadae uje ujute. Sehem sahihi ya kupata majib ni hospital au dispensary au kwa wamama wazoef na katu sio mtandaoni.
Mtandao njoo uombe ushauri wa mambo mengine
 
Yan we jamaa fanya maasiara na afya ya mtoto wako alaf baadae uje ujute. Sehem sahihi ya kupata majib ni hospital au dispensary au kwa wamama wazoef na katu sio mtandaoni.
Mtandao njoo uombe ushauri wa mambo mengine
Nashukuru kwa kunikumbusha ndugu ila hata humu pia inawezekana wapo wazazi wazoefu ndugu yangu
 
Usafi jitahidi, toa vumbi hilo la congo madirishani, ili mtoto apate hewa ya kutosha.
 
Yan we jamaa fanya maasiara na afya ya mtoto wako alaf baadae uje ujute. Sehem sahihi ya kupata majib ni hospital au dispensary au kwa wamama wazoef na katu sio mtandaoni.
Mtandao njoo uombe ushauri wa mambo mengine
Ndugu meddiy hapa umepotoka kidogo


Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto
 
acha usidanganywe mtoto mpekeke clinic side effect za kitunguu unafmfaham wew
 
Back
Top Bottom