Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
Wiki kadhaa nilikuwa nasumbuliwa na UTI baada ya kupata vipimo katika kituo cha afya X na doctor akanishauri nitumie dawa make alisema sio nyingi ni ya kawaida ..baada ya kumaliza dozi ikabidi nirudi kujiridhisha kama nimepona ugonjwa ila cha ajabu majibu yakatoka kuwa nina UTI ya kutosha kwa maelezo ya doctor kuwa dawa hazijasaidia akashauri nichome sindano katika hicho kituo cha afya X..majibu yake kama hivi.
Ila nikaona nisikurupuke nikiwa njiani nikapata wazo la kwenda kujiridhisha katika kituo cha afya Y kingine na kumsikiliza docter means kwa kupima tena ambapo nilitumia mda wa lisaa limoja majibu ya pili kutoka na yalikuwa yanaonesha kuwa siona huo ugonjwa changamoto ni uzembe wa kunywa maji ya kutosha kwa maelezo ya daktari ...ndo nikapigwa na butwaaa na kubaki dilemma 😅
Je kipi ni kipi wakuu na niamini nini kwenye hili?
Ila nikaona nisikurupuke nikiwa njiani nikapata wazo la kwenda kujiridhisha katika kituo cha afya Y kingine na kumsikiliza docter means kwa kupima tena ambapo nilitumia mda wa lisaa limoja majibu ya pili kutoka na yalikuwa yanaonesha kuwa siona huo ugonjwa changamoto ni uzembe wa kunywa maji ya kutosha kwa maelezo ya daktari ...ndo nikapigwa na butwaaa na kubaki dilemma 😅
Je kipi ni kipi wakuu na niamini nini kwenye hili?