Msaada: Makadirio ya tofali na gharama kwa ujumla

Msaada: Makadirio ya tofali na gharama kwa ujumla

Swahili AI

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2016
Posts
10,174
Reaction score
89,364
1624873936284.png

Kwa ramani hiyo wakuu, inaweza gharimu tsh ngapi mpaka naingia?
 
View attachment 1833365
Kwa ramani hiyo wakuu, inaweza gharimu tsh ngapi mpaka naingia?
mkuu ushauri tu. fanya mabadiliko au tafuta ramani nyingine. haipendezi sana mtu kutoka tu chumbani upo sebuleni au ukifungua mlango tu watu wa sebuleni wanaona mpaka chumbani kwako itakukosesha uhuru/faragha. chumba kimoja ktk hiyo ramani kinatokeza moja kwa moja sebuleni, pia hicho hicho chumba kina mlango wake pekee wa kuingia choo cha public sio sahihi lkn hicho choo nacho kina milango mawili ya kuingilia nayo siyo. Haipendezi pia mtu akitoka chooni anaona moja kwa moja jikoni watu wanavyofanya yao. Unaweza usione hiyo shida sasa lkn ukishajenga na kuhamia ndo utajua nachokisema. Nadhan nimeeleweka.
Kwenye swali lako, ni ngumu kutoa makisio sbb mchoro wako hauna vipimo labda
 
Back
Top Bottom