Chuck j
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 2,366
- 828
Ni mke wangu,anaumwa kichwa,tumbo na hilo tumbo linanguruma na kujaa kama gesi vile,anasikia kizunguzungu,na macho haoni vzr. Mimba ina miezi tisa sasa kwa maana amekadiriwa kujifungua 10 to 28 januari, nini tatizo? Anafeel malaria but 16 decemba alipewa dawa ya malaria clinic,,,,,,