MSAADA: Mama mkwe amenifungulia kesi ya uharibifu wa Mali

MSAADA: Mama mkwe amenifungulia kesi ya uharibifu wa Mali

Status
Not open for further replies.
You have a good point here kesi iko mahakama ileile au ingine, sifahamu sheria hivi mahakimu sip walezi wetu kwamba yule wa talaka uombe kuonana nae atakusaidie pia katika hili na hio kesi ya talaka iwe baseline
Kesi ya Talaka ilikuwa Temeke as for now Kuna Mahakama inayoshukulikia maswala ya Talaka na mirathi ni separate ni hizi mahakama nyingine
 
I know,maana walianza case ya Talaka ilivyofika kipengele Cha chumo la pomoja wakawithdral case na ndo baadae kifungua hii
ahaa km ni hvyo basi km ni hvyo we komaa tu nyumba ni ya kwenu na mmeo ht km umevunja mkwe hana uhalali kwa kukushaki maana si yake labda akaprove mahakaman kuwa mal loharibiwa ni yake, afu kafungue tena hilo shauri la talaka mkuu umalizie kazi wasije wakakutoa roho
 
Mmh maskini pole umedondokea pabaya. Unayempenda hakupendi ila bado kisheria una haki ukipata mwanasheria mzuri utaweza kujiweka imara
 
I wish ningeweza kufanya hivyo,but nawaza nitaanzia wapi saivi na kipindi Cha Corona nilipoteza kazi yangu mpaka Sasa sina kazi.I wish ningekuwa na kazi ningeweza kulipa Kodi na kumood mahitaji mengine madogo madogo
Kuna wakati wanawake mnapitia magumu, kawaone TAWLA au TAMWA.
 
Na mme yupo upande wa mama yake,wametafuta Hadi Mwanasheria Nia Yao kubwa ni Mimi wanifunge.
HAKUNA wa KUKUFUNGA hapo!
Ndoa ya kimila inatambulika na ni halali kisheria.
Shida yako ya kwanza ni uoga.
Mbona kuna taasisi na vituo vingi tu vinatoa msaada wa sheria kwa akina mama, watafute hao. Kama hujui uliza wenzio wakuelekeze.
Huyo mama hana mume?
 
HAKUNA wa KUFUNGA hapo!
Ndoa ya kimila inatambulika na ni halali kisheria.
Shida yako ya kwanza ni uoga.
Mbona kuna taasisi na vituo vingi tu vinatoa msaada wa sheria kwa akina mama, watafute hao. Kama hujui uliza wenzio wakuelekeze.
Huyo mama hana mume?
Hakika akawaone TAWLA na TAMWA wako DSM
 
wazazi wanasemaje na uko umbali gani na kwenu hapo ulipo, je mama mkwe si mshirikina au ana nguvu gani ya kipesa au nini hasa,
Sidhani kama ni mshirikina ni mtu wa kanisani sana likini pia uwezo wake ni wakawaida tu tu kwasabu ni msataafu ila anayelipa legal feee ni mme wangu
 
Mmh maskini pole umedondokea pabaya. Unayempenda hakupendi ila bado kisheria una haki ukipata mwanasheria mzuri utaweza kujiweka imara
So sad, he was the perfect man ever but suddenly Kila kitu kikabadilika
 
Ndio mana hua naomba Mungu anisaidie nikipata mume tusiishi karibu na wazazi wake hata wangu afadhali tukapange huko Mana muda kwingine hawa wazazi wetu ni vichomi.
 
Hahahaha anaye ni Mzee asiyependa maugomvi at least ni mtu pia amabaye Huwa ananijulia hali mara kwa mara lakini pia kwasabu Ile ni familia yake sidhani kama anaweza kuwa upande wangu.
mke na mume ni kabila gani na wewe ni kabila gani sio kwa ubaya nauliza
 
HAKUNA wa KUKUFUNGA hapo!
Ndoa ya kimila inatambulika na ni halali kisheria.
Shida yako ya kwanza ni uoga.
Mbona kuna taasisi na vituo vingi tu vinatoa msaada wa sheria kwa akina mama, watafute hao. Kama hujui uliza wenzio wakuelekeze.
Huyo mama hana mume?
Ahsante Mkuu nitafanya hivyo nitakuja humu kuwapa mrejesho
 
Ndio mana hua naomba Mungu anisaidie nikipata mume tusiishi karibu na wazazi wake hata wangu afadhali tukapange huko Mana muda kwingine hawa wazazi wetu ni vichomi.
Haya kuja hapa umeisha nipata chagua tunaishi wapi fasta.....? [emoji23][emoji23][emoji41][emoji41]
 
Naombeni msaada wa mawazo maana nahisi nitakufa kwa mawazo ila ninajikaza.Mimi ni mama wa miaka 30 Nina mtoto mmoja, nina ndoa ya kimila.Nampenda sana mme wangu lakini tumekuwa hatuna maelewano mazuri mm na yeye kwa sababu ni mtu wakusikiliza ndugu na pia ni mtu ambaye anaona mawazo ya ndugu zake ndo mawazo sahihi especially his mum,mpaka ikafika hatua ya yeye kuhama nyumbani na kwenda kuishi kwa wazazi wake ambao hawako mbali na tunapoishi yapata mwaka sasa tangu aondoke vikao vya kifamilia tumeshakaa lakini hakuna suluhu mpaka Sasa ambayo imefanikiwa.

Sasa hapa ninapoishi tuna nyumba mbili, nyumba Moja ni mpya bado hatujahamia hivyo tumeifanya kama store pia tulikuwa tumeshaweka na vitu vingine kama makabati ili tuweze kuhamia, kutokana na migogoro yetu mpaka sasa hatujahamia.

Hivi karibini nilipoteza ufunguo wa hiyo nyumba mpya hivyo ikanibidi nimuite Fundi ili aweke kitasa kipya ili niweze kufanyia nyumba usafi maana hapa tunapoishi Kuna mchwa wengi hivyo nilazima kufanya usafi vitu visiharibiwe na mchwa. Baada ya kubadilisha kitasa nikamwambie dada apafanyie usafi,wakati dada akiendelea na usafi,

Mara shemeji akaja amkamfukuza yule mdada na kuchukua zile funguo za nyumba na baadae mama mkwe alifika nyumbani na rafiki yake akinigombeza kwanini nimevunja mlango wa nyumba,nikamwambie sijavinja nimebadikisha kitasa,akaniambia kwanini nabadilisha kitasa Cha nyumba bila kumpa taarifa,nikamwambie,nyumba si yangu na mme wangu ndo maana sijawapa taarifa kama nimebadilisha kitasa na baada kama ya siku 10 kupita nikapigiwa simu nahitajika kituo Cha police kufika pale nikaambiwa nimeshitakiwa na mama mkwe kwa uharibifu wa Mali na kesi ikapelekwa mahamani mind you kwenye kiwanja tulichojenga tulipewa na baba mkwe.Naombeni msaada wa kisheria juu ya hii case

Hakuna kesi, Wala usiogope
 
Mama mkwe anasema nyumba ni yake Ndio.Na Mimi Nina baadhi ya transaction ambazo nilikuwa nikimpa mme kwa ajili ya ujenzi
Kama ulikuwa unatoa hela mkajenga hapo wanatakabkukudhulumu.
Wanakunyanyasa uondoke ili wabaki na nyumba wao wewe uondoke mikono mitupu.
Huyo mume kaungana na familia yake hivo jipange hakikisha kila ushahidi ulionao katika kuifikisha hapo unao.
 
Suluhu ni kutafuta mwanasheria,mind you simzungumzii yule Suluhu Lipaka jike
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom