Msaada: Mark II Grande inawasha taa ya mafuta haizimi

Msaada: Mark II Grande inawasha taa ya mafuta haizimi

Sorry Nina mark II grande Juzi Kati iliwasha taa ya mafuta na nilikuwa nakaribia eneo lenye kituo cha mafuta nikapitia nikaweka mafuta lakini cha ajabu ile geji ya mafuta ikabaki palepale chini na taa ya mafuta ikaendelea kuwaka je hapo tatizo ni nini naombeni msaada
Mark II gari ngumu sana
 
Back
Top Bottom