Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 5,487
- 4,817
Mkuu, asali ikipungua ujazo pia uzito unapungua automatic. Kwa hiyo kikubwa muuzaji ajue kwenye lita moja ya asali kuna kilo ngapi? Then apige hesabu.Uza kwa uzito utafaidika, asali hubadirika ujazo kulingana na joto na baridi.
Unayo nta?Mkuu kwa uelewa wangu mdogo asali mbichi ile inayotoka kwenye mzinga bila kuchemsha Mimi ni mfugaji pia wa nyukiView attachment 2232275
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Nina shida na nta mkuuUnaitambua kwa vipimo vya mositure content pia jinsi inavyomiminika na kutumia njia zingine kama njiti ya kibiriti au utambi. Asali inapatikana zaidi huko Chunya na Tabora kwenye misitu ya miombo, bei ya jumla ni kati ya shs 5,000 hadi 10,000 kwa lita bei ya kuuza ni shs 15,000 kwa lita. Vibali ni muhimu na kuna taratibu zake, bishara ina soko kubwa na inalipa sana ukizingatia. Dar kila sehemu unaiuza inategemea unauza kwq style gan na umelenga wateja wa aina gani.
Karibu sana katika biashara hii
Unahitaji kiasi ganiUnayo nta?
Sawa. Kuna jamaa yangu anafanya biashara ya mazao ya nyuki nitawasiliana nae kama yupo nayo kwa kipindi hiki.Nina shida na nta mkuu
3000 ni kibali kwa lita 20 tuu au kibali cha mwaka mzima au miwili? halafu ulipe na VAT/kodi then makodi ya halmashauri na masoko? nimeamini anayetutia umaskini ni serikali sio mwingineOfisi za Wakala wa Huduma za Misitu au vizuia vya Maliasili. Dumu la lita 20 ni shs 3,000 hivi kibali chake.
Ni changamoto kidogo.3000 ni kibali kwa lita 20 tuu au kibali cha mwaka mzima au miwili? halafu ulipe na VAT/kodi then makodi ya halmashauri na masoko? nimeamini anayetutia umaskini ni serikali sio mwingine
Kimiminika kipimo chake kinakuaje KILO?Biashara ya asali huuzwa kwa kipimo cha kilo si lita.
Inawezekana mkuu usiwe mbishi. Asali huuzwa kwa kilo maana pia kuna wakati inaganda so ukiuza kwa Lita haupati faida kivile.Kimiminika kipimo chake kinakuaje KILO?
Elimu ya Bongo bhana.
Ni kweli kabisa asali huuzwa kwa kilo na sio lita ,Kimiminika kipimo chake kinakuaje KILO?
Elimu ya Bongo bhana.
Mkuu asali huuzwa kwa Lita na kilo piaNi kweli kabisa asali huuzwa kwa kilo na sio lita ,
Kwenye masoko ya kimataifa wanatumia kgMkuu asali huuzwa kwa Lita na kilo pia
Yeah.....vipi hayo masoko yako wapiKwenye masoko ya kimataifa wanatumia kg
Kenya maana bidhaa nyiingi hupita kwaoYeah.....vipi hayo masoko yako wapi
1 litre ya ujazo = 1kg ya uzitoKimiminika kipimo chake kinakuaje KILO?
Elimu ya Bongo bhana.
Ukihitaji njoo pm nitakuelekezawapi huko wanauza asali 15000 kwa lita
Hapana bhana1 litre ya ujazo = 1kg ya uzito