Msaada, mawazo na uzoefu biashara ya asali

Msaada, mawazo na uzoefu biashara ya asali

Uza kwa uzito utafaidika, asali hubadirika ujazo kulingana na joto na baridi.
Mkuu, asali ikipungua ujazo pia uzito unapungua automatic. Kwa hiyo kikubwa muuzaji ajue kwenye lita moja ya asali kuna kilo ngapi? Then apige hesabu.
 
Unaitambua kwa vipimo vya mositure content pia jinsi inavyomiminika na kutumia njia zingine kama njiti ya kibiriti au utambi. Asali inapatikana zaidi huko Chunya na Tabora kwenye misitu ya miombo, bei ya jumla ni kati ya shs 5,000 hadi 10,000 kwa lita bei ya kuuza ni shs 15,000 kwa lita. Vibali ni muhimu na kuna taratibu zake, bishara ina soko kubwa na inalipa sana ukizingatia. Dar kila sehemu unaiuza inategemea unauza kwq style gan na umelenga wateja wa aina gani.
Karibu sana katika biashara hii
Nina shida na nta mkuu
 
Mkuu, asali ikipungua ujazo pia uzito unapungua automatic. Kwa hiyo kikubwa muuzaji ajue kwenye lita moja ya asali kuna kilo ngapi? Then apige hesabu.
Maelezo mazuri sana, shukrani mkuu
 
3000 ni kibali kwa lita 20 tuu au kibali cha mwaka mzima au miwili? halafu ulipe na VAT/kodi then makodi ya halmashauri na masoko? nimeamini anayetutia umaskini ni serikali sio mwingine
Ni changamoto kidogo.
 
Back
Top Bottom