Unaitambua kwa vipimo vya mositure content pia jinsi inavyomiminika na kutumia njia zingine kama njiti ya kibiriti au utambi. Asali inapatikana zaidi huko Chunya na Tabora kwenye misitu ya miombo, bei ya jumla ni kati ya shs 5,000 hadi 10,000 kwa lita bei ya kuuza ni shs 15,000 kwa lita. Vibali ni muhimu na kuna taratibu zake, bishara ina soko kubwa na inalipa sana ukizingatia. Dar kila sehemu unaiuza inategemea unauza kwq style gan na umelenga wateja wa aina gani.
Karibu sana katika biashara hii