Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Wakuu,
Mbwa Nilikuwa nao watatu ila cha ajabu wawili wamekufa jana kwa wakati mmoja, nimewazika leo na huyu mmoja aliebaki nae ni hivyo hata hatikisiki na hana nguvu za kusimama.
Dalili zao wote walikuwa wanatoa mapovu mdomoni, wakisimama wanaanguka, na hata kula wakawa hawawezi na walikuwa wana wadudu lakini dawa niliwapatia jana, huyu aliebaki tumbo limevimba,
Nilikuta wamepewa chakula lakini nilipowafungulia wakawa hawawezi kutembea wanaanguka na mapovu wanatoa.
UPDATE >>>
Mida hii saa 19: 00 mbwa wangu huyu aliebaki amefariki, ..
Mlinzi pekee ambae amebaki nae ndio amekwenda, dalili zake zilikuwa zile zile na alikuwa anaharisha pia kama damu hivi,..
Mbwa watatu wamekufa kwa siku mbili wamepishana masaa tu.
Nawashukuru mlionipa ushauri wa kila namna..
Mbwa Nilikuwa nao watatu ila cha ajabu wawili wamekufa jana kwa wakati mmoja, nimewazika leo na huyu mmoja aliebaki nae ni hivyo hata hatikisiki na hana nguvu za kusimama.
Dalili zao wote walikuwa wanatoa mapovu mdomoni, wakisimama wanaanguka, na hata kula wakawa hawawezi na walikuwa wana wadudu lakini dawa niliwapatia jana, huyu aliebaki tumbo limevimba,
Nilikuta wamepewa chakula lakini nilipowafungulia wakawa hawawezi kutembea wanaanguka na mapovu wanatoa.
UPDATE >>>
Mida hii saa 19: 00 mbwa wangu huyu aliebaki amefariki, ..
Mlinzi pekee ambae amebaki nae ndio amekwenda, dalili zake zilikuwa zile zile na alikuwa anaharisha pia kama damu hivi,..
Mbwa watatu wamekufa kwa siku mbili wamepishana masaa tu.
Nawashukuru mlionipa ushauri wa kila namna..