Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu mbwa wangu huwa nawafungulia jioni kula ila asubuhi huwa nawawekea chakula humo humo kabla sijaondoka..Pole sana majirani zako wanakuchukia kina kitu itakua umewakosea au Mbwa wako unawaacha hovyo
Hapo kwako kuna virus ambao wamewaathiri maini yao, inakuwa kama hepatitis kwa binadamu. mbwa wako watatoa dalili kama matumbo kujaa, kukojoa mkojo kama una damu vile, kunya kinyesi cheusi, miguu ya nyuma kukosa nguvu, kukonda ghafla, kukosa hamu ya kula, ukiona hizo dalili jua its too late, maini yao yamesha chakazwa, next time ukifuga hakikisha wakifika miezi mi nne nenda kwa bwana mifugo awachome chanjo ina chanjo za virus aina 4 au tano kwa pamoja kuzuia hayo magonjwa, hii haihusiani na chanjo ya kichaa cha mbwa.Wakuu
Mbwa Nilikuwa nao watatu ila cha ajabu wawili wamekufa jana kwa wakati mmoja,,
Nimewazika leo na huyu mmoja aliebaki nae ni hivyo hata hatikisiki na hana nguvu za kusimama.
Dalili zao wote walikuwa wanatoa mapovu mdomoni, wakisimama wanaanguka, na hata kula wakawa hawawezi na walikuwa wana wadudu lakini dawa niliwapatia jana, huyu aliebaki tumbo limevimba,
Nilikuta wamepewa chakula lakini nilipowafungulia wakawa hawawezi kutembea wanaanguka na mapovu wanatoa
Mkuu unaanza kunifungua akili sasa
Kama ndio ingekuwa minyoo wasingekufa kwa pamoja
Kwahiyo dalili hizo ni walipewa sumu au nyoka, maana sidhani kama minyoo inafanya mbwa atoe mapovu
Hali ni mbaya sana mkuu wangu.Pole sana
Ungemcheki faster dokta wa mbwa
Ova
Amina.Obviously wamelishwa sumu mkuu.Kaa tafakari sana chukua hatua nzuri pia usisahau kumtanguliza MOLA.
Mm nnavyopenda doggy Acha tuHali ni mbaya sana mkuu wangu.
Sidhani hata anamaliza usiku huu kama atafika.
Inauma sana yaani
Nashukuru sana mkuuHapo kwako kuna virus ambao wamewaathiri maini yao, inakuwa kama hepatitis kwa binadamu. mbwa wako watatoa dalili kama matumbo kujaa, kukojoa mkojo kama una damu vile, kunya kinyesi cheusi, miguu ya nyuma kukosa nguvu, kukonda ghafla, kukosa hamu ya kula, ukiona hizo dalili jua its too late, maini yao yamesha chakazwa, next time ukifuga hakikisha wakifika miezi mi nne nenda kwa bwana mifugo awachome chanjo ina chanjo za virus aina 4 au tano kwa pamoja kuzuia hayo magonjwa, hii haihusiani na chanjo ya kichaa cha mbwa
Nashukuru sana mkuuPole sana majirani zako wanakuchukia kina kitu itakua umewakosea au Mbwa wako unawaacha hovyo
Labda nyoka wa kutumwa, nyoka anaweza kugonga zaidi ya mara kumi. Kadiri anavyogonga sumu hupungua.Nyoka anauma mara Moja tu anaishiwa sumu. Asingeweza kuwauma wote watatu na kuwaachia sumu
Una uhakika mimi ndio nimewakwaza?Amina.
Hutakiwi kuishi kwa kuwakwaza wengine kiasi cha kupelekea wakuchukie namna hii.
Tubu dhambi zako, Na uwapende jirani zako kama unavyojipenda.
Nashukuru siku nyingine nitafuatiia sana mambo ya chanjoPole sana mkuu, je, mbwa wako walipata chanjo zote? Wakati mwingine inaweza ikawa walipata maambukizi magojwa hasa ya virusi.
Najua inauma sana kupoteza mbwa ambaye ni rafiki na mlinzi wa familia.
Ni kweli mkuu mbwa hawa pia walikuwa ni zaidi ya rafiki kwa sisi wapenda mbwa tunajua umuhimu wakeMm nnavyopenda doggy Acha tu
Hpa nmeguswa sana
Ungewawahia daktari mapema
Ova