Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,808
- 6,934
Unamfahamu koboko wewe?Nyoka anauma mara Moja tu anaishiwa sumu. Asingeweza kuwauma wote watatu na kuwaachia sumu
Unajua balaa lake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamfahamu koboko wewe?Nyoka anauma mara Moja tu anaishiwa sumu. Asingeweza kuwauma wote watatu na kuwaachia sumu
Sijawahi kabisa kuwaza hayo mkuuFunga kamera za ulinzi hapo kwako na uweke katika maeneo ya siri sana hata watoto wako wasijue.
Halafu fuga mbwa wengine. Tena hawa wasasa hivi ikibidi wawe wanavuta bangi kabisa.
Mbaya wako akija tena utaweza mjua kwa haraka sana. Mimi naamini sana msaada wa technology zaidi kuliko matumizi ya mbwa maana mbwa ndio kama hivyo wanaweza malizwa chap na sumu kali.
Huyo aliowapa chakula kachoka kutumwa tumwa hio kazi ya kuwalisha, kuwazolea nnya na kuwafungia kila asubuhi😂 kuwa nae makini maana ndiye 1st suspect!Wakuu
Mbwa Nilikuwa nao watatu ila cha ajabu wawili wamekufa jana kwa wakati mmoja,,
Nimewazika leo na huyu mmoja aliebaki nae ni hivyo hata hatikisiki na hana nguvu za kusimama.
Dalili zao wote walikuwa wanatoa mapovu mdomoni, wakisimama wanaanguka, na hata kula wakawa hawawezi na walikuwa wana wadudu lakini dawa niliwapatia jana, huyu aliebaki tumbo limevimba,
Nilikuta wamepewa chakula lakini nilipowafungulia wakawa hawawezi kutembea wanaanguka na mapovu wanatoa
Hiyo sumu kapewa mnyweshe maziwa na chupa kwa nguvuWakuu
Mbwa Nilikuwa nao watatu ila cha ajabu wawili wamekufa jana kwa wakati mmoja,,
Nimewazika leo na huyu mmoja aliebaki nae ni hivyo hata hatikisiki na hana nguvu za kusimama.
Dalili zao wote walikuwa wanatoa mapovu mdomoni, wakisimama wanaanguka, na hata kula wakawa hawawezi na walikuwa wana wadudu lakini dawa niliwapatia jana, huyu aliebaki tumbo limevimba,
Nilikuta wamepewa chakula lakini nilipowafungulia wakawa hawawezi kutembea wanaanguka na mapovu wanatoa
Dah mnanitisha sana wakuu.Iliwahi nitokea na mimi ,kumbe wezi wana mipango yao walimpa sumu mmbwa wiki moja kabla maana dog alikua kikwazo kwao maana alikua Mkali sana wezi walipokuja walinipukutisha kuku 100+.....mmbwa nae alikufa
Kitendo cha kutoa povu hiyo ni sumu tena ya panyaMkuu unaanza kunifungua akili sasa
Kama ndio ingekuwa minyoo wasingekufa kwa pamoja
Kwahiyo dalili hizo ni walipewa sumu au nyoka, maana sidhani kama minyoo inafanya mbwa atoe mapovu
Basi badilisha tabia yako kifuatacho ni weweNimegundua kweli ilikuwa sumu Wale wawili nimekuta wamekauka asubuhi
Sasa sijui nani kawapa sumu maana hawa majirani zangu wananichukia sana toka zamani
Tatizo linaanzia hapoNashukuru sana mkuu
Jirani yangu niligombana nae alinichokoza sana nikampeleka mahakamani.
Dah nimekata tamaa mkuu wangu
Inabidi nichunguze huenda sio yeye au ni yeye mkuuTatizo linaanzia hapo
Sijawahi kumkwaza huyu jirani ni yeye ndio alinikwaza.
Kama kashaanza kuhema kwa shida tafuta jembe na chepe aweke karibu hayo ni mapafu yamezidiwa cabon kama mgonjwa wa koronaDah nimekata tamaa mkuu wangu
Hapa nipo namuangalia nje anahema kwa shida cha kwanza nilimpa maziwa lakini hata kumeza hawezi
Dah nitawapata wapi tena sijui dah
Hapo kuna wivu jihadhari sanaSijawahi kumkwaza huyu jirani ni yeye ndio alinikwaza.
Alikuwa rafiki sana before
Kwa nin uchukiwe?Nimegundua kweli ilikuwa sumu Wale wawili nimekuta wamekauka asubuhi
Sasa sijui nani kawapa sumu maana hawa majirani zangu wananichukia sana toka zamani
Kwani ni koko au wale wa kwa obamaDah nitawapata wapi tena sijui dah