Msaada: Mbwa wangu anaumwa pavo

Kwanza pole,lakini pili hongera maana umejifunza.

Niungane na wachangiajo wengine kumtilia shaka dkt wako maana si kawaida kwa mtaalam afanye chanjo ya minyoo alafu asifanye ya pavo,hiyo ndio muhimu kuliko zote na huwa wanachanja na minyoo kwa pamoja.

Pia usikasirike lakini,mbwa wako hakuwa pure shepherd,next time tafuta kuwa makini na watakaokuuzia.
 
Sasa Mkuu Mbwa Aina Hyo mbona Wako Wengi Kitaa hapoa?
Ilikuwa Haina Haja Ya Kumuagiza Toka Ujeruman
Umeharibu Pesa Yako Bure Mkuu

Mmmh kazi ipo!!... Nan kasema kaagiza kutoka Ujeruman...??
 

Cop that
 
Kuna jamaa hapa anachanganya madawa. Huyu mbwa amesemekana aina yake ni German Shepherd na siyo kuwa amemnunua Ujerumani...Hebu soma vizuri kwenye mistari. Mimi natafuta Pure German Shepherd ila siyo kwa bei ya kifisadi. Kama mmoja wetu anajua nnapoweza kupata anaweza kunisaidia
 
pole sana mkuu, inabidi wafuga mbwa tuanzishe mtandao wa kupeana ushauri



Mbwa wangu amesikitika kwa kifo cha CHIEF
 

Attachments

  • WP_20141103_010.jpg
    249.5 KB · Views: 151
Wazo jema... mbwa ni mnyama adilifu sana hasa akitunzwa na kufunzwa vyema, ni mlinzi makini na asiye chakachulika kirahisi akishafunzwa, ni mnyama wa burudani kwa wale wapenda mbwa (pet) mbwa pia anaweza kutabiri baadhi ya majanga (threats) ikiwa upo nae karibu kimahusiano (i.e kumjali) na mengine mengi mwenye kumbukumbu atujuze.
 

Safi sana...Nimeipenda..naamin tutashauriana vingi na sote tutaenjoy na mbwa wetu...japo sijajua nawezaje kuliaccess hilo group....naomba unielekeze namna ya kujoin na kuchangia kene hilo group. Asante.
 
Kaka pole najua uchungu wa mbwa aisee mimi ninae mmoja anamiezi miwili kasoro ameanza kupoteza raha juzi leo amekula kidogo ametapika naomba nishauri nifanyeje
 
Kinga apewe akifikisha miezi mingapi ndugu? Wangu amekua mpole tangu jana usiku na ameanza kutapika leo ana miezi miwil kasoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…