Franky
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 2,270
- 2,844
Mkuu gharama za uendeshaji ukitoa hapo kwenye mauzo alikuwa anabakiwa na sh ngpSawa mkuu, kiufupi wana faida wakiwa wengi hivyo, kuna wakati mwenza wangu alikuwa nao kuku 1400 wanaotaga, kwa siku alikuwa anakusanya mayai trei 36 hadi 37. yaani kasalary kangu nakasotea mwezi mzima lakini nilikuwa sigusi kwake.