Siko Dar mkuuVifaranga Vya silver land vina bei gani mkuu? Kwa dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siko Dar mkuuVifaranga Vya silver land vina bei gani mkuu? Kwa dar
Ulifugia mkoa gani mkuu kama hutojali?Siko Dar mkuu
MbeyaUlifugia mkoa gani mkuu kama hutojali?
Nami nipo mbeya mkuu ndio maana nilitaka kujua logistics za upatikanaji wa Hao vifaranga kutoka silverland ulifanyaje kuwapataMbeya
Wana mawakala almost kila kituo, anzia Uyole njia panda, Nane Nane, Ilomba , Soweto, Mwanjelwa na kuendelea hadi huko Mbalizi, inategemea uko eneo gani.Nami nipo mbeya mkuu ndio maana nilitaka kujua logistics za upatikanaji wa Hao vifaranga kutoka silverland ulifanyaje kuwapata
Safi chief thanks for the useful info ntawacheki mawakalaWana mawakala almost kila kituo, anzia Uyole njia panda, Nane Nane, Ilomba , Soweto, Mwanjelwa na kuendelea hadi huko Mbalizi, inategemea uko eneo gani.
Wengi wa mawakala wao ni wale wenye maduka ya mifugoSafi chief thanks for the useful info ntawacheki mawakala
Kuna vitu kwenye mradi vinahesabika kama fixed assetIla hapo hakuweka gharama za uwekezaji (Mabanda, drinkers, feeders, wiring, n.k). Angemaintain kwa angalau miaka mitatu ingemlipa sana. Sasa mwaka juzi mahindi yalivyofika 23K kwa debe, biashara ilicolapse. Amebaki na mabanda anayaangalia tu.
Kuhusu typhoid mnawapa chanjo kuku au OTC inakuwepo ya kutosha?Tunatumia alizeti na dagaa, changamoto ya kuweka chakula kingi ni huo mtaji wa kuwa nao mara moja, ila pia hatukutegemea mahindi kupanda bei kwa kiasi hicho (X3 hadi X4). Kiufupi mashine za kuandaa vyakula zipo ila sisi tunanunua ingredients za muhimu kama mahindi, pumba na alizeti, hizo zingine unanunulia mashineni tu.
Huku alizeti ni nyingi sana, dagaa pia wanapatikana kwa bei ya soko, soya hatutumii kabisa.
Wanapewa OTC tuKuhusu typhoid mnawapa chanjo kuku au OTC inakuwepo ya kutosha?
Ni sawa kabisa, lakini ujue vinakuwa depreciated. Sisi wafugaji wa mitaani tunatenga asilimia kiasi ya faida kufidia huo uwekezaji.Kuna vitu kwenye mradi vinahesabika kama fixed asset
Vifaranga Vya Kuku Wa Mayai (Layers) Bovan Brown/Kuku Wa MayaiAsant mwez wa 2 nategemea kuanzisha mradi wng wa kuku wa mayai natak nianze na kuku 1000
ShukranVifaranga Vya Kuku Wa Mayai (Layers) Bovan Brown/Kuku Wa Mayai
Kifaranga wa siku 1
SIFA ZA HAWA KUKU (BOVANS BROWN)
✓Wanakuwa vizuri sana
✓Wanataga wakishafika miezi 5 toka akiwa kifaranga.
✓Wanastahimili magonjwa.
✓Utagaji wao asilimia 95
✓Wanataga mayai 250-300 kwa mwaka.
✓Wanakaa miaka 2 ukiwatunza vizuri.
BEI YAKE NI 1,500TZS TU UNAPATA KITU KILICHO BORA.
Call/WhatsApp: +255 679 003 511
Habar wadau
Nahitaji kujua ni kiasi gani cha hela nitatumia kama gharama za kuwalea na kuwatunza vifaranga 1000 wa kuku wa mayai mpaka kufikia hatua ya kutaga mayai.
[/QUOT
Kuna mzungu mmoja aliwahi niambia show me what you have, I will show you the way .Trust kila mtu aliyefanikiwa alianzia chini akikua na kuelewa kila njia mafanikio lazima upite katika moto Ili angare .