Msaada: Mchanganuo wa gharama za kujenga poles/nguzo na slab ya juu chumba cha 2.5m*2.8m size

Msaada: Mchanganuo wa gharama za kujenga poles/nguzo na slab ya juu chumba cha 2.5m*2.8m size

Asante sana mkuu, however;
1: Siyo chumba kwa ajili ya kulala, juu ni kupumzika na chini ni store. Slab ya juu kabisa ni tank la maji.

2: Ushauri mwingine wote unazingatiwa mkuu.

Bless!
Kwa hiyo mkuu hiyo slab itakuwa inatofautisha, sasa father house anapumzika na sasa analala?
 
Ukilala sababu unakua nusu hujielewi basi uzito unaongezeka. Ila ukiwa macho sababu akili inafanya kazi basi uzito ni mdogo Emmanuel Okwi, Haruna Moshi Boban & Felix Sunzu.
Mkuu je nikiweka slab ya 43msq, gharama ya slab ni kiasi gani na itahitaji column ngapi. Kule juu ni suite master bedroom ya ft 18X14.5 na capony
 
Poleni na mapambano wakuu.

Twende kwenye mada, nahitaji kujenga chumba kimoja chenye size tajwa hapo juu. Halafu baadae nitajenga chumba/rest room juu yake. Kinaunganishwa toka kwenye nyumba kubwa. Kwa maana ukuta mmoja itakuwa wa nyumba kubwa ambayo tayari ipo.

Naomba kufahamu uchanganuzi wa material hasa ya nondo za kujengea nguzo kwa awamu ya kwanza i.e hadi level ya chumba cha kwanza(chini) nasema hivi kwa maana nakijenga kwa awamu. Nataka nianze chumba cha chini na baadae nitamalizia cha juu.

Pili, ghza arama ya nondo na cement za slab ya floor. Awamu ya kwanza nataka ikamilishe hadi slab. Hivyo naomba uchanganuzi wa gharama za vifaa hivyo hadi level hiyo. Ukipendekeza na material mfano ni nondo za aina gani zitumike kwa eeo lipi nitashukuru zaidi. Piaitu kama binding wire na stirrups, etc.

Natanguliza shukrani za dhati.

Dongbei!
No=((2.8÷0.15+1)×2.5+(2.5÷0.15
+1)×2.8)×1.5÷12

Assumption made
Spacing 150mm B&T

Kwenye slab pekee zitahitajika nondo pc 12, kufanya mahesabu ya jengo lote hiyo inakuwa ni biashara tena sio msaada na inabidi uwe na structural drawings
 
Asante mkuu. Upande wa nondo je
No=((18÷0.5+1)×14.5+(14.5÷0.5
+1)×18)×1.5÷40
Nondo pc 40 kwa spacing ya 150mm
Nondo pc 30 kwa spacing ya 200mm
Nafanya assumption ya spacing kwa sababu sijui michoro inasemaje, kiufupi michoro ya nondo huwa inatoa details ambazo inakuwa rahisi mtu kufanya makadirio ya vifaa vinavyohitajika
 
No=((18÷0.5+1)×14.5+(14.5÷0.5
+1)×18)×1.5÷40
Nondo pc 40 kwa spacing ya 150mm
Nondo pc 30 kwa spacing ya 200mm
Nafanya assumption ya spacing kwa sababu sijui michoro inasemaje, kiufupi michoro ya nondo huwa inatoa details ambazo inakuwa rahisi mtu kufanya makadirio ya vifaa vinavyohitajika
Mkuu hadi huku upo vizuri nilijua Ni kweny Excel tu
 
Back
Top Bottom