King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hiyo ni meter 6 urefu upana ni meter 3.6 boss wangu
Sawa mkuu ngoja nikupigie hesabu(estimation).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni meter 6 urefu upana ni meter 3.6 boss wangu
niliwaza hivyo nikaona kama anajenga corridor siyo chumbaChumba 250cmx250cm kiko chini ya kiwango.
Au basi
Kwa hiyo mkuu hiyo slab itakuwa inatofautisha, sasa father house anapumzika na sasa analala?Asante sana mkuu, however;
1: Siyo chumba kwa ajili ya kulala, juu ni kupumzika na chini ni store. Slab ya juu kabisa ni tank la maji.
2: Ushauri mwingine wote unazingatiwa mkuu.
Bless!
Ukilala sababu unakua nusu hujielewi basi uzito unaongezeka. Ila ukiwa macho sababu akili inafanya kazi basi uzito ni mdogo Emmanuel Okwi, Haruna Moshi Boban & Felix Sunzu.Kwa hiyo mkuu hiyo slab itakuwa inatofautisha, sasa father house anapumzika na sasa analala?
Mkuu je nikiweka slab ya 43msq, gharama ya slab ni kiasi gani na itahitaji column ngapi. Kule juu ni suite master bedroom ya ft 18X14.5 na caponyUkilala sababu unakua nusu hujielewi basi uzito unaongezeka. Ila ukiwa macho sababu akili inafanya kazi basi uzito ni mdogo Emmanuel Okwi, Haruna Moshi Boban & Felix Sunzu.
No=((2.8÷0.15+1)×2.5+(2.5÷0.15Poleni na mapambano wakuu.
Twende kwenye mada, nahitaji kujenga chumba kimoja chenye size tajwa hapo juu. Halafu baadae nitajenga chumba/rest room juu yake. Kinaunganishwa toka kwenye nyumba kubwa. Kwa maana ukuta mmoja itakuwa wa nyumba kubwa ambayo tayari ipo.
Naomba kufahamu uchanganuzi wa material hasa ya nondo za kujengea nguzo kwa awamu ya kwanza i.e hadi level ya chumba cha kwanza(chini) nasema hivi kwa maana nakijenga kwa awamu. Nataka nianze chumba cha chini na baadae nitamalizia cha juu.
Pili, ghza arama ya nondo na cement za slab ya floor. Awamu ya kwanza nataka ikamilishe hadi slab. Hivyo naomba uchanganuzi wa gharama za vifaa hivyo hadi level hiyo. Ukipendekeza na material mfano ni nondo za aina gani zitumike kwa eeo lipi nitashukuru zaidi. Piaitu kama binding wire na stirrups, etc.
Natanguliza shukrani za dhati.
Dongbei!
Upande wa zege, kila cubic meter moja itahitajika mifuko 6 ya cement. Kama utajenga slab ya nchi 5, idadi ya mifuko ya cement itakuwa 43×0.125×6= 32bagsMkuu je nikiweka slab ya 43msq, gharama ya slab ni kiasi gani na itahitaji column ngapi. Kule juu ni suite master bedroom ya ft 18X14.5 na capony
c.c Njuka IIMkuu je nikiweka slab ya 43msq, gharama ya slab ni kiasi gani na itahitaji column ngapi. Kule juu ni suite master bedroom ya ft 18X14.5 na capony
Asante mkuu. Upande wa nondo jeUpande wa zege, kila cubic meter moja itahitajika mifuko 6 ya cement. Kama utajenga slab ya nchi 5, idadi ya mifuko ya cement itakuwa 43×0.125×6= 32bags
No=((18÷0.5+1)×14.5+(14.5÷0.5Asante mkuu. Upande wa nondo je
Mkuu hadi huku upo vizuri nilijua Ni kweny Excel tuNo=((18÷0.5+1)×14.5+(14.5÷0.5
+1)×18)×1.5÷40
Nondo pc 40 kwa spacing ya 150mm
Nondo pc 30 kwa spacing ya 200mm
Nafanya assumption ya spacing kwa sababu sijui michoro inasemaje, kiufupi michoro ya nondo huwa inatoa details ambazo inakuwa rahisi mtu kufanya makadirio ya vifaa vinavyohitajika