Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
😂😂😂 alisahauMayunga ni mwanamke?? Au umesahau ku switch ID yako nyingine?? Wasukuma hatuna Mayunga mwanamke,labda kama ungekua Ng'hwana Mayunga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 alisahauMayunga ni mwanamke?? Au umesahau ku switch ID yako nyingine?? Wasukuma hatuna Mayunga mwanamke,labda kama ungekua Ng'hwana Mayunga
Huyu ni chokoMayunga ni mwanamke kumbe
Ashindwe yeye tu mkuuNajitolea kukusaidia bureeeeee,
Nikupeleke vacation, nikupe mahaba mahabani,
Walau for aweek ufike kileleni kisha utarudi kwa Mume wako.
Una cash kiasi gani benki?Wapendwa wangu naomba ushauri wenu ktk suala la kufika kileleni (kukojoa), nimekuwa nikihangaika sana tena sana kuhusu hili jambo nina miaka 10 kwenye ndoa yangu sijawahi kufika kileleni hata mara moja. Nasikia stori kwa wenzangu na kuona picha kama hizo za wachina na nyingine kiufupi sifurahi tendo la ndoa nafanya tu kumridhisha mume ila roho inaniuma sana.
Simjui mwaume mwingine zaidi ya mume wangu, ute wenyewe shida yaani hata nichezewe vipi halafu nimekuwa nikilichukia tendo hilo yan siku akisema nasafiri yaani nafurahi kweli
Nimeona nishee na nyie huenda ikawa sababu ya mimi kufurahia ndoa yang
Nahitaji sana msaada wenu ktk hili.
Mayunga ni mwanamke?? Au umesahau ku switch ID yako nyingine?? Wasukuma hatuna Mayunga mwanamke,labda kama ungekua Ng'hwana Mayunga
Sasa tukikushauri utest kwa mtu mwingine tutakuwa tumekufundisha tabia mbaya au??Wapendwa wangu naomba ushauri wenu ktk suala la kufika kileleni (kukojoa), nimekuwa nikihangaika sana tena sana kuhusu hili jambo nina miaka 10 kwenye ndoa yangu sijawahi kufika kileleni hata mara moja. Nasikia stori kwa wenzangu na kuona picha kama hizo za wachina na nyingine kiufupi sifurahi tendo la ndoa nafanya tu kumridhisha mume ila roho inaniuma sana.
Simjui mwaume mwingine zaidi ya mume wangu, ute wenyewe shida yaani hata nichezewe vipi halafu nimekuwa nikilichukia tendo hilo yan siku akisema nasafiri yaani nafurahi kweli
Nimeona nishee na nyie huenda ikawa sababu ya mimi kufurahia ndoa yang
Nahitaji sana msaada wenu ktk hili.
Mda wote JF niliwaza we mwanaume kumbe mwanamkeWapendwa wangu naomba ushauri wenu ktk suala la kufika kileleni (kukojoa), nimekuwa nikihangaika sana tena sana kuhusu hili jambo nina miaka 10 kwenye ndoa yangu sijawahi kufika kileleni hata mara moja. Nasikia stori kwa wenzangu na kuona picha kama hizo za wachina na nyingine kiufupi sifurahi tendo la ndoa nafanya tu kumridhisha mume ila roho inaniuma sana.
Simjui mwaume mwingine zaidi ya mume wangu, ute wenyewe shida yaani hata nichezewe vipi halafu nimekuwa nikilichukia tendo hilo yan siku akisema nasafiri yaani nafurahi kweli
Nimeona nishee na nyie huenda ikawa sababu ya mimi kufurahia ndoa yang
Nahitaji sana msaada wenu ktk hili.
Aaaah....! Ndio inavyokuwa?. Halafu?Aache kusikilizia sana kama vile mkunaji atataja kituo chake ajue amefika.
Anatakiwa aenjoy safari aache mambo yatajipa sio kujibana bana na mawazo.
Unahitaji huduma ya kuwekwa sawa afya yako ya akiliWapendwa wangu naomba ushauri wenu ktk suala la kufika kileleni (kukojoa), nimekuwa nikihangaika sana tena sana kuhusu hili jambo nina miaka 10 kwenye ndoa yangu sijawahi kufika kileleni hata mara moja. Nasikia stori kwa wenzangu na kuona picha kama hizo za wachina na nyingine kiufupi sifurahi tendo la ndoa nafanya tu kumridhisha mume ila roho inaniuma sana.
Simjui mwaume mwingine zaidi ya mume wangu, ute wenyewe shida yaani hata nichezewe vipi halafu nimekuwa nikilichukia tendo hilo yan siku akisema nasafiri yaani nafurahi kweli
Nimeona nishee na nyie huenda ikawa sababu ya mimi kufurahia ndoa yang
Nahitaji sana msaada wenu ktk hili.
Umekeketwa?
Mwambie apunguze kujifanya nunda! Hii itamsaidia kisaikolojia alie lie kidogo anyumbulike ikiwezkana ang'ate shuka