Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

Mchukue na mumewe
 
Mkuu tupe muendelezo. Inakaribia mwezi sasa.
 
Nashangaa sana mnaamini watu humu JF. Unaweza kukuta huyo mleta uzi ji darasa la 7 au Form 1 anatumia Simu ya Shemeji yake kupiga sound humu JF na nyie mnamuamini na kuwa serious naye kabisa.
Kama mleta Uzi ni darasa la 7, vipi msoma Uzi? 😂😂😂
 
Nashangaa sana mnaamini watu humu JF. Unaweza kukuta huyo mleta uzi ji darasa la 7 au Form 1 anatumia Simu ya Shemeji yake kupiga sound humu JF na nyie mnamuamini na kuwa serious naye kabisa.
Yaani nimesikitika sana nimeangalia uzi mpaka una page ya 24!!! Mimi nilikumbuka juzi tu hapa nilisoma uzi wake kuwa ameambukizwa VVU na leo nimeona huu nikaunganisha dots sikutaka hata kuendelea kusoma nikajua ni chai tu. Mpuuzi sana huyu Witch hunter
 
Dah! Ndugu yangu kweli Uzi utugombanishe?
 
"acheni jamani watu tunapitia shida sana hapa Tanzania duh"................. Akhiii hii statement imenifanya nimecheka kwa nguvu sana. Dah. Pole sana Mkuu
 
Umeshamuharibia ndoa yake haya mchukue uishi nae kwanini unamkimbia
Umeshaachiwa mchukue uishi nae
Hivi mtu unaharibiwaje ndoa yako na mtu mwingine bila wewe kupenda, unajua uleolewa kwa nini ukitembeze huko nje. Kama unaona uliye naye si sahihi achana naye. Ni bora mwanamme anaweza kuoa mke wa pili lakini kwa mwanamke huwezi kuolewa na waume wawili.
Mwanamke ni wa kumaumiwa maana anajua kaolewa. Angekataa huyo kijana angekuwa na yeye kimapenzi?
 
Kuna mwenzio tumetoka kuzika juzi kafumaniwa huko Bunju kapigwa visu kiasi hata sura hatambuliki
Yaani unaua kwa ajili ya mapenzi, kazi kweli. Mwishowe unaishia jela . Tatizo watu wanaweka matumaini makubwa kwa watu, muamini mtu kwa aslimia ndogo sana ili kuepuka disappointment. Jipende wewe kwanza wangine ndio wafuate, ukifanya hivyo, hakuna binadamu atakusumbua.
 
Mwanaume mzima na akili zako eti unaenda kumpiga mwanamme mwenzako kisa katembea na mkeo, huo ni udhaifu mkubwa. Yeye kaamua kwq mapenzi yake kugawa nje, ina maana hakufai, piga chini tafute mwingine.
Halafu mnachukulia wanawake kama mafurushi wanaweza kuchukuliwa tuu kama mizigo? Kwamba ameshawishiwa? Kwani ni mtoto hafikirii maamuzi yake?

Wanaume rijali hawapigani kwa ajili ya papuchi, kuna mambo mengi ya kufanya duniani zaidi ya mapenzi. Ukiona anakusaliti, achanane kila mtu atafute usataarabu wake.
 
"Hata nikitaka kuoa siwezi oa single mother" I do not know why I laugh to my tears this much............. Pole Mkuu
 
"acheni jamani watu tunapitia shida sana hapa Tanzania duh"................. Akhiii hii statement imenifanya nimecheka kwa nguvu sana. Dah. Pole sana Mkuu
Akhsante mkuu
 
Mkuu......... ulishawahi kusikia usemi usemao .... Mchumia janga ....".... Pole bana we ulijua kuwa huyo ni mke wa mtu..... ulipaswa kukaa mbali au (to be a wise enough in a foolish way)... to just piga once, twice or thrice and run shaaaaa..... next time be wise joorr (In Nigerian voice).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…