Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

Ukimkimbia huyo mwanamke utakuwa umefanya kosa lingine tena la pili, kosa la kwanza ni kuzini nae na limeshatokea. Simama kiume badilisha SIM card na huyo mwanamke asiitumie tena hiyo simu alopewa. Kamilisheni mchakato wa talaka kisha oaneni kihalali na maisha yaanze mara moja.
ZINGATIA; Sio wote walio kwenye ndoa walipanga na kujiandaa, la hasha...wengine waliamka tu na kujikuta kimeumana kama wewe.
 
Mke wa mtu analiwa mara moja per 4 months

Then simu inapgwa mara 1/3 ndan ya miez 3
 
Mkuu. Samahani naomba ujaribu kuvaa uhusika wangu... Kesho jumapili yaani... Dah! Sijui hata itaishaje siku ya kesho. Sina amani, duh. Kama una ushauri wa kueleweka nipe tu
Usitamani mwanamke asiyekuwa wako, wewe umetamani. Usizini, wewe umezini nae tena si mara moja. Sasa cha kukushauri, inabidi ufanye kama DAUDI mtumishi wa Bwana alivyofanya. Inabidi ufanye juu chini umuue kabisa huyo mume wake hapo ndiyo utakuwa na amani bila hivyo my friend huwezi kusamehewa maisha yako yote duniani hata mbinguni. Ushauri wangu muue huyo mumewe, narudia tena muue, kill him and merry her and peace will become.
 
Jihadhari sana na Mke Wa Mtu Na Mume Wa MTu.....


View: https://www.youtube.com/
 
Wanaume wapeno attention wake zenu. Kukosa kuwapa attention ndio kuzaa kuchepuka.
 
HIYO SITUATION UNAYOPITIA NDIO FAIDA KUBWA YA UZINIFU
 
Hii ni hadithi. Huu ni utungaji. Nimejuaje? Umetumia juhudi kubwa kupita kawaida kuelezea tukio.
 
Jamaa katunga. Hili siyo tukio la kweli. Kna mambo mengi sana hayaingilii akilini.
 
Kwani b4 we ulikuwa hujui outcomes bro? Ichunguze AKILI yako once again!
 
Issue sio kuoa ndugu yangu. Issue huyu ni Mke wa mtu. Namuoaje duh! Mi sijui hata kesho yangu... Inauma sana
Leo ndio umejua ni mke wa mtu. Si ul8kiwa wajiona kidume. Jamaa ashagundua anakutafta lakini bado ukashupaza shingo. Si ulikuwa waenjoy ,ndio kakuachia uenjoy vzuri sasa wataka ushauri gani.
 
Issue sio kuoa ndugu yangu. Issue huyu ni Mke wa mtu. Namuoaje duh! Mi sijui hata kesho yangu... Inauma sana
Wakati unamtongoza, mnaanza kulana mpaka kwenye kitanda alichonunua mwanaume mwenzio tena nyumbani kwake, ulivyokuwa ukimpelekea vizawadi huyo mwanae mdogo mpaka akakupenda na unakiri kabisa ni kacheshi ulitegemea nini? Uliyoyatengeneza yametoa majibu sasa na unapaswa kukabiliana na hayo majibu vinginevyo nawe uwe tayari kukabiliana na maumivu aliyokuwa akipitia huyo mumewe hata baadae utakapokuwa umeo mwanamke utakayempenda.
Alafu kilasiku hamuishi kuwasema single mothers humu ndani. You're a moron
 
Nikapata nafasi nikakuta wanakufira na mimi nitakufira vibaya mnoooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…