Swaka sio anaona mtoto kero, acheni kuhamisha mada, swala ni kuendelea kulea mtoto ingali baba yake yupo eti kisa atamtesa. Why alikubali kuacha lango wazi? Acheni unafiki kwa kufikiri kuwa jamaa anaongelea chakula, jiketeni kwenye hojaEeh anaona watoto ni kero mpumbavu kweli kweli. Watoto ni baraka sana kwani ni kama malaika wa ulinzi watakuwa wanaizingirs nyumba yako muda mwingi.
aache uchoyoAcha uchoyo na roho mbaya
acha uchoyo weweHabari wakuu mke wangu ana dada yake ambaye kazalishwa mtoto mmoja na Dada yake hayuko katika ndoa, hajaolewa na aliyemzalisha alikuja akaoa mwanamke mwingine
Sasa basi mimi na mke wangu tuna mtoto mdogo wa umri sawa na mtoto wa Dada yake.. mke wangu amekuwa akimchukua mtoto wa Dada yake kila Ijumaa na kumrudisha Jumapili kwa Dada yake
Sasa akiwa anataka kumrudisha mtoto hataki kurudi kwa mama yake anataka kuendelea kuishi nasi wakati huo baba wa mtoto hana muda na mtoto wake kwa mahitaji ya mtoto yaani hamuhudumii.
Mama wa mtoto hataki hata siku moja kumpelekea mtoto kwa baba yake sababu ana mke mwingine atamtesa, Sasa amekuwa akimsukumia kwangu kwa kigezo cha kuja kucheza na mwenzake
Je, ni sawa baba wa mtoto yupo na mama wa mtoto kukataa mtoto kwenda kwa baba kutembea kwa kisingizio Cha mama wa kambo atamtesa hivyo kuona ni sahihi aende kwa mama yake mdogo hali ya kuwa baba yupo na anajichana na maisha?
Hujataka wewe acha uongo, wapo kibao tu sema hapa mnajifanya wema sanaMkuu watu tunatamani tupate hata hao watoto tulee ila hatupati
Kwanza wanampa uhuru wa huyo mdada kuendelea kula raha...apewe mwanae akae naye kila siku aujue uchungu wa kulea.Uko sahihi sana ila kuna wanaojifanya hapa wema kos wako nyuma ya keypad, kwa ground hata mtoto yatima hawajawahi msaidia, wanaishia kula starehe za pombe na madanga lakini hapa wanajifanya kutetea eti jamaa amlee. Yaani baba yake yupo halafu ujifajye mwema, ni upuuzi sana
Acha roho mbaya kwani anakula nini kikubwa hivyo mpaka upanic? Mhhh wanaume hawana tabia hizoHabari wakuu mke wangu ana dada yake ambaye kazalishwa mtoto mmoja na Dada yake hayuko katika ndoa, hajaolewa na aliyemzalisha alikuja akaoa mwanamke mwingine
Sasa basi mimi na mke wangu tuna mtoto mdogo wa umri sawa na mtoto wa Dada yake.. mke wangu amekuwa akimchukua mtoto wa Dada yake kila Ijumaa na kumrudisha Jumapili kwa Dada yake
Sasa akiwa anataka kumrudisha mtoto hataki kurudi kwa mama yake anataka kuendelea kuishi nasi wakati huo baba wa mtoto hana muda na mtoto wake kwa mahitaji ya mtoto yaani hamuhudumii.
Mama wa mtoto hataki hata siku moja kumpelekea mtoto kwa baba yake sababu ana mke mwingine atamtesa, Sasa amekuwa akimsukumia kwangu kwa kigezo cha kuja kucheza na mwenzake
Je, ni sawa baba wa mtoto yupo na mama wa mtoto kukataa mtoto kwenda kwa baba kutembea kwa kisingizio Cha mama wa kambo atamtesa hivyo kuona ni sahihi aende kwa mama yake mdogo hali ya kuwa baba yupo na anajichana na maisha?
Ungekua ukizaa nje akaletwa ungemfukuza kisa tabia za kike??Mkuu tatizo sio kuishi tatizo ni kuwa mtoto kashaanza kuadapt tabia za kike na mama tu haoni shida kwake
SureKwanza wanampa uhuru wa huyo mdada kuendelea kula raha...apewe mwanae akae naye kila siku aujue uchungu wa kulea.
Samahani mkuu kama hutajali naomba kuuliza, umri wa hao watoto na ni tabia gani hizo za kike mwanao anaiga?.Mkuu tatizo sio kuishi tatizo ni kuwa mtoto kashaanza kuadapt tabia za kike na mama tu haoni shida kwake
Umeongea vizuru sana,ila bado kuna mijitu itatokea itarudi na kusema,jamaa ana roho mbaya.Bado sijaona kinachomfanya mleta Uzi aonekane ana roho mbaya! Kinachoonekana watu wametanguliza hisia zao.
Mleta uzi ametupatia usuli(history) ya mtoto kuwa kila wiki anakuja na ukiliangalia hilo kwake halionekani ni tatizo kila wiki kuja.
Hata mtoto kugoma kwake si tatizo! Bali tatizo wazazi waliyomzaa mtoto wapo na wanashughuli zao na bado wanawajibika kumlea mtoto wao ila kinachoonekana majukumu hayo anataka kupatiwa yeye. Kwa sababu uono wa mleta Uzi ni kuwa hata kama wametofautiana ila bado huyo mtoto ni mtoto wao na ni wajibu wao kumlea.
Ukiangalia mtoto anagoma kuondoka itafika mahala ndo ataishi hapo mazima! Ni kama tabibu, haaangalii matokeo ya ugonjwa bali anaangalia chanzo ili atibu ugonjwa mazima. Halikadhalika kwa mleta Uzi, Sasa kugoma kuondoka kwa mtoto ina maana gharama za uendeshaji wa familia zitazidi ila ukiangalia kwa aliyeleta Uzi hayo yote kwake si tatizo bali tatizo ni kuwa hizo gharama kwake si stahiki na ndipo mazingira yatakavyokuwa huko mbeleni.
Na jamaa yupo sahihi kuwa kugharamikia si tatizo ila ni kwa nini abebeshwe mzigo hali ya kuwa mbebaji wa huo mzigo yupo na uwezo wa kuubeba wanao?
Na ukiangalia kwa undani zaidi utakuta baba wa mtoto anao uwezo wa kumgharamikia isipokuwa wanawake wana roho mbaya sana tena sana! Inawezekana anamkomoa mshikaji kwa kutomhusisha kabisa na mtoto na kwake anafanya ni kama kisasi kwa jamaa.
Hatukatai ndugu, hatukatai kusaidia! Tunachikitaka ni lazima jamii ifahamu wajibu wake na iwajibike. Tusiweke ngao ya undugu au ukaribu kwa mtu kukimbia majukumu yake. Ikiwa kama jamaa kamkataa mtoto na dada wa mkeo hana uwezo hapo sawa mtaangalia njia gani ya kuweza kumsaidia. Kama uwezo anao mta share gharama.
Wengi wanaongea tu hapa ila kwa ground utasikia wanasema “naleaje mtoto wa mwanaume mwenzangu na yeye yupo”, ila hapa wanaona jamaa ana roho mbaya. Wabongo ninwanafiki kinoma mzee wangu, tena wanafiki sana. Huyo mtoto hana kosa ila baba yke yupo ahudumie. Kama mama yake hataki kumpeleka amlee mwenyewe na asiwape watu shidaUmeongea vizuru sana,ila bado kuna mijitu itatokea itarudi na kusema,jamaa ana roho mbaya.
Hao watoto wako walafii sana duu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkatee mzimaaa mtoto wa miaka 4????Tuko pamoja mkuu,
Mimi nna watoto wa miaka 6 tena mapacha wa kike, wanakula mkate mzima wao wa2 tu kila siku na kuna mdogo wa miaka mi4 na nusu siku za shule tu yeye ndio hula sana anakala mkate mzima anabakisha sless 4 au 3 tu ukimwekea na blueband, hapo bado cha mchana, usiku na matunda afu kuna mtu anatokwa povu hapa eti chakula kwa watoto sio gharama nahisi hawana watoto hao.
Mambo mengine siyo ya kuja kutuuliza huku, wewe ni mwanaume kweli au Marioo? yaani hupendi kitu kifanyike kwenye nyumba yako unakuja kutuuliza huku tena kwa ujasili kabisa eti naomba ushauri.Habari wakuu mke wangu ana dada yake ambaye kazalishwa mtoto mmoja na Dada yake hayuko katika ndoa, hajaolewa na aliyemzalisha alikuja akaoa mwanamke mwingine
Sasa basi mimi na mke wangu tuna mtoto mdogo wa umri sawa na mtoto wa Dada yake.. mke wangu amekuwa akimchukua mtoto wa Dada yake kila Ijumaa na kumrudisha Jumapili kwa Dada yake
Sasa akiwa anataka kumrudisha mtoto hataki kurudi kwa mama yake anataka kuendelea kuishi nasi wakati huo baba wa mtoto hana muda na mtoto wake kwa mahitaji ya mtoto yaani hamuhudumii.
Mama wa mtoto hataki hata siku moja kumpelekea mtoto kwa baba yake sababu ana mke mwingine atamtesa, Sasa amekuwa akimsukumia kwangu kwa kigezo cha kuja kucheza na mwenzake
Je, ni sawa baba wa mtoto yupo na mama wa mtoto kukataa mtoto kwenda kwa baba kutembea kwa kisingizio Cha mama wa kambo atamtesa hivyo kuona ni sahihi aende kwa mama yake mdogo hali ya kuwa baba yupo na anajichana na maisha?
Mkuu hailengi chakulaSio kujitoa ufahamu, complain inalenga zaidi chakula? Ni fedhea kwa mwanaume kulalamikia kumlisha mtoto