Msaada: Mke wangu anataka tuwe tunaishi na mtoto wa dada yake kila wikiendi na likizo

Msaada: Mke wangu anataka tuwe tunaishi na mtoto wa dada yake kila wikiendi na likizo

Tatizo mnachukulia poa sana, mimi siwezi kulea mtoto wa mtu mwingine kama wazazi wake wapo hai wakati mimi sijaanza malezi ya wanangu, unless otherwise watoto wangu ni wakubwa na wazazi wa hao wanaokuja hawajiwezi au wamefariki. Yaani kuzaa azae mwingine mimi niletee
Unalea Tu jomba mungu atakulipa! Au Imani ni kuunga unga?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Sure kaka, naona watu wanajitoa ufahamu eti huo ni uchoyo. Yaani kuzaa azae yeye na aliyemzalisha yupo halafu malezi mileee mimi ujinga huu
Acha uchoyo mkuu!

Hayo yote unayoyasema mtoto hayajui

Unaweza kufikiri unawakomoa wazazi kumbe unamkomoa mtoto.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo tumsuse mtoto kwasababu baba yake yupo na hataki kuwajibika?
.
.
Wanaume mna matatizo...mtu kampa mimba mtoto wa kike kamsababishia usingle maza (hatufahamu sababu za kutoishi pamoja, cases zipo nyingi)...bidada kaamua kusaidiana na mwenzake mtoto apate malezi hlf anatokea mwanaume mwingine kuleta vikwazo, Wala hajaombwa amsomeshe ni chakula tu.
Huwa nashangaa sana mnavyosema wanawake hawapendani lkn wanaume ndo hawajawahi kupendana, kutwa kuharibu jamii badala ya kurekebisha. Nyie ndio source ya jamii mbovu.
Nyie mna matatizo sana, umeambiwa huyo mdada hataki mtoto aende kwa baba yake kisa kaoa mke mwingine, hapo ni wivu wa kuachwa unamsumbua. Kama mleta uzi angesema baba amegoma kabisa kuhudumia au baba yuko mkoani hapo sawa, but mtaa mmoja halafu huyo single mother hataki mtoto awe anaenda kwa baba yake kwa kuwa yeye kapigwa chini, hiyo mimi sifanyi huo ujinga kabisa.

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Daah!! wanaume hatupo ivo Mzee yaani katoto kamoja tena miaka 6 kanakutoa povu kiasi hicho?....

Sasa vipi ukikabidhiwa familia nzima ya mdogo au kaka yako uilee mfano awe amepata ajali kafa?

Usipokuwa makini utapata shida sana katika hii dunia huko mbele..
 
Mamii huyu jamaa anataka kutufanya wote tuonekane vituko ila trust me wanaume wenye choyo ni 1% tu ya population na hawa huchangiwa na malezi mabovu.
Babu yangu alikuwa anapenda kuniambia unaniangalia lakini hunioni... Nilikuja Kumuelewa baadae sanaa. Wengi humu, sana mnaokomaa na issue ya UCHOYO mmeshindwa Kumuelewa jamaa...

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Yaani watu wanyanduane kwa raha zao afu mzigo abebeshwe mwingine kisa una roho nzuri??, nimefanya huo ujinga kwa miaka zaidi ya 10 sijaona baraka zozote zaidi umaskini kupiga hodi afu tunakuja kumlaumu magufuli,
Nilichogundua ukitaka kufanikiwa lazima watu wakuone una roho mbaya, sijaona mwenye roho nzuri akipata mafanikio makubwa lkn utaskia wanasema yule tajiri ana roho mbaya kumbe rombo mbaya yake ndio imemfanya kua tajiri.
Mimi nimeanza kazi hata kabla ya kuoa nimekaa na kulea watoto wa ndugu zangu. Pamoja na kuwa na watoto wangu but nimeendelea kuwalea, kama wa kwangu mpaka wakaenda vyuo na kuanza kazi. Wengine baada ya kuanza maisha yao wala hawana time na mimi, so habari ya kwamba eti ni baraka sijui nini hakuna lolote. Wewe ukifanya hivyo chukulia ni kutenda wema na uende zako. Halafu hawa wanawake ndugu zetu ma single mothers yaani akiona kapata wa kumsaidia ndiyo kwanza anajisahau...

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Babu yangu alikuwa anapenda kuniambia unaniangalia lakini hunioni... Nilikuja Kumuelewa baadae sanaa. Wengi humu, sana mnaokomaa na issue ya UCHOYO mmeshindwa Kumuelewa jamaa...

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Unamuelewaje mvulana anaelalamikia gharama za chakula cha mtoto ikiwa yeye pia ana mtoto.
 
Daah!! wanaume hatupo ivo Mzee yaani katoto kamoja tena miaka 6 kanakutoa povu kiasi hicho?....

Sasa vipi ukikabidhiwa familia nzima ya mdogo au kaka yako uilee mfano awe amepata ajali kafa?

Usipokuwa makini utapata shida sana katika hii dunia huko mbele..
Jamaa anatia aibu😝
 
Kwani hata gemu si huwa tunawaambia naomba niingize kichwa tuu, akikubali anastukia breki ni zile tenesi mbili [emoji23] [emoji23] [emoji23] so anaanza week end baadae analala siku kadhaa mwishowe kahamia jumla.

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Kuhamia ni ngumu maana obvious mtoto anasoma na umri wake unasogea. It means akifika 10 years ni umri ambao anaweza jitegemea so atakaa vizuri hata akiachwa mwenyewe
 
Huyo mtoto ana haki ya kumuona baba yake mara kwa mara, mama anakosea sana kumnyima hiyo haki wakati baba aliyemzaa yupo duniani. Mtoto akiwa mkubwa atamchukia sana huyo mama yake...

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Mtoto hajawahi kumchukia mama wewe 😂😂😂 ingekuwa baba ni sawa.
 
Mkuu hakika wewe umenielewa vizur Sana..lengo lao mbeleni mtoto ahamie moja kwa moja maana ilishaanza ishara yakuwa watoto wamezoeana Sana so pia dada mtu pia shuguli zake hazifanyi kwa Uhuru sababu yamtoto Hana wakumuachia kumuangalia awapo ktk mihangaiko take analazimika awe nae Hilo ktk mihangaiko yake Hali baba wamtoto yupo nashuguli zake zakumpatia rizki hana habari
Huwezi ruhusu mtoto ahamie moja kwa moja, akifika umri ambao anaweza kujitegemea like 10 yrs and above unaweza mwambia shemeji akae nae kwake sasa.

Kwa umri huo alionao sasa hata kujipikia hawezi ndio maana kaspgezwa kwako.
 
Habari wakuu mke wangu ana dada yake ambaye kazalishwa mtoto mmoja na Dada yake hayuko katika ndoa, hajaolewa na aliyemzalisha alikuja akaoa mwanamke mwingine

Sasa basi mimi na mke wangu tuna mtoto mdogo wa umri sawa na mtoto wa Dada yake.. mke wangu amekuwa akimchukua mtoto wa Dada yake kila Ijumaa na kumrudisha Jumapili kwa Dada yake

Sasa akiwa anataka kumrudisha mtoto hataki kurudi kwa mama yake anataka kuendelea kuishi nasi wakati huo baba wa mtoto hana muda na mtoto wake kwa mahitaji ya mtoto yaani hamuhudumii.

Mama wa mtoto hataki hata siku moja kumpelekea mtoto kwa baba yake sababu ana mke mwingine atamtesa, Sasa amekuwa akimsukumia kwangu kwa kigezo cha kuja kucheza na mwenzake

Je, ni sawa baba wa mtoto yupo na mama wa mtoto kukataa mtoto kwenda kwa baba kutembea kwa kisingizio Cha mama wa kambo atamtesa hivyo kuona ni sahihi aende kwa mama yake mdogo hali ya kuwa baba yupo na anajichana na maisha?
Kwanza unatakiwa kulipa huuyho mtoto kwa kuja mkucheza na mwanao acha mkufujatioia mambo madogo hao ni ndugu, wa damu nakushauri mchukkuje kbs itasaidia shrm kuolewa........ jama vipi tupe budget ya hizo siku mbili tupange donation......
 
Huyo mtoto ni wa mkeo. Alizaa kabla hamjaoana. Muache mke wako alee mtoto wake.

Tena baba mtoto atakuwa anakuja kuwatembelea
 
Huyo mtoto ni wa mkeo. Alizaa kabla hamjaoana. Muache mke wako alee mtoto wake.

Tena baba mtoto atakuwa anakuja kuwatembelea
Dang son.

Kama uko sawa uko perceptive sana.

Kama umekosea una confidence mbaya sana.
 
Back
Top Bottom