Msaada: Mke wangu anataka tuwe tunaishi na mtoto wa dada yake kila wikiendi na likizo

Msaada: Mke wangu anataka tuwe tunaishi na mtoto wa dada yake kila wikiendi na likizo

Mtoto wa miaka 6 mdogo?
Jamaa naona yupo sahihi maana huyo mtoto sio yatima ana wazazi wake wote, pia kama kucheza si wapo wa majirani kwanini mkewe aingie gharama ilhali wa majirani ni bure?
Ili alitakiwa tu anwambie mkewe ukweli kua hamtaki huyo mtoto hapo nyumbani sio kuzunguka tuuu
Kama hamtaki huyo mtoto na ana sababu za msingi mbona anashindwa kumwambia mkewe?. Yeye ndio baba wa familia yake na sioni kwa nini ushauri wa kitu chepesi kama hiki utoke kwa great thinkers 😁😁
 
Na umaskini nilionao umetokana na ujinga wa kulea ujinga kama huu, vinginevyo ningekua milionea...
Ndio maana tajiri hata awe na ela nyingi kiasi gani hafanyi ujinga kama huu, na ndio maana wao huzaa watoto wachache, kwangu ada na afya sio gharama ila chakula ni gharama maana kula ni muhimu na lazima kila siku.
Nakubaliana na wewe sana tu,watu wengi wanaliangalia hili suala na 'emotion'zao.Wanaona katoto kanakuja kucheza basi,wanapiga stop hapo.Lakini kuna majukumu ambayo hawayaangalii,hiyo weekend itageuka kuwa 'kila siku' na mtoto na wataanza kusema'mtoto kazoea kuja hapo' mzigo utatuwa kwa jamaa.Kama wazazi wangekuwa hawapo au hawana uwezo basi ni sawa kumchukua mtoto na kukaa nae tena ki roho safi kabisa.Lakini wapo !,aisee no way.Alafu mi huwa
Siwaelewi wazazi wanaozaa alafu kumpa mwengine ulezi,uzuri wa kuzaa mtoto uwe naye karibu,ucheze nae,ujue uzima na ugonjwa wake na mtoto ajue kama ana mzazi anaemjari.Kama haupo tayari kulea, subiri usizae.
 
Hizo ni imani kama zilivyo imani zingine mkuu, nimelea ndugu na watoto kwa zaidi yq miaka 10 sijaona baraka yoyote, kwani mtoto ni yatima?
Tangu nimeacha huu ujinga hata kibubu changu mwaka huu kimekua, ukweli utabaki palepale huruma zetu zinatuponza sana,

Hata Mungu atakua anakushangaa, kakubariki uwe tajiri lakini kila upatacho unaendekeza misaada tu
Maisha yetu hayo mkuu. Tena wewe unakua umejitoa umejinyima hadi umewadhulumu watoto wako kwaajili ya hao ndugu kwa miaka yote hiyo na sasa wanakucheka😁😁 Mimi siku hizi nasema kama ni msaada uwe kwa jambo la msingi, na huo msaada umfikie mhusika hukohuko waliko😎

Ila sioni gharama kwa huyu mtoto maana anachofuata hapo ni usalama tuu. Huyu bwanamkubwa cha kufanya akae na mkewe amweleze ni kwanini wakae nae na wakubaliane kama ni kwa muda gani. Na amwambie mkewe kwa kuendelea maamuzi kama hayo lazima wayaamue pamoja kabla ya utekelezaji
 
Kama hamtaki huyo mtoto na ana sababu za msingi mbona anashindwa kumwambia mkewe?. Yeye ndio baba wa familia yake na sioni kwa nini ushauri wa kitu chepesi kama hiki utoke kwa great thinkers [emoji16][emoji16]
Alitaka kujua magreat thinker wanachukuliaje hilo mwishowe wakamchamba akajikuta kaikana hoja yake akabaki kusema wanaharibiana tabia[emoji23][emoji23]
Hajui kua akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Nakubaliana na wewe sana tu,watu wengi wanaliangalia hili suala na 'emotion'zao.Wanaona katoto kanakuja kucheza basi,wanapiga stop hapo.Lakini kuna majukumu ambayo hawayaangalii,hiyo weekend itageuka kuwa 'kila siku' na mtoto na wataanza kusema'mtoto kazoea kuja hapo' mzigo utatuwa kwa jamaa.Kama wazazi wangekuwa hawapo au hawana uwezo basi ni sawa kumchukua mtoto na kukaa nae tena ki roho safi kabisa.Lakini wapo !,aisee no way.Alafu mi huwa
Siwaelewi wazazi wanaozaa alafu kumpa mwengine ulezi,uzuri wa kuzaa mtoto uwe naye karibu,ucheze nae,ujue uzima na ugonjwa wake na mtoto ajue kama ana mzazi anaemjari.Kama haupo tayari kulea, subiri usizae.
Wengi wanaotetea ni masingo mama mkuu, na waliozalisha afu hawalei
 
Maisha yetu hayo mkuu. Tena wewe unakua umejitoa umejinyima hadi umewadhulumu watoto wako kwaajili ya hao ndugu kwa miaka yote hiyo na sasa wanakucheka[emoji16][emoji16] Mimi siku hizi nasema kama ni msaada uwe kwa jambo la msingi, na huo msaada umfikie mhusika hukohuko waliko[emoji41]

Ila sioni gharama kwa huyu mtoto maana anachofuata hapo ni usalama tuu. Huyu bwanamkubwa cha kufanya akae na mkewe amweleze ni kwanini wakae nae na wakubaliane kama ni kwa muda gani. Na amwambie mkewe kwa kuendelea maamuzi kama hayo lazima wayaamue pamoja kabla ya utekelezaji
Gharama lazima ipo mkuu, ukiona jamaa anavolalamika jua kuna jambo kaliona,
Kushinda kwake siku tatu lazima ale afuliwe na mengineyo pia mkewe pengine kwa kujifanya mwema na nguo na viatu anamnunulia pia,
Usisahau mtoto wa miaka 6 anaweza kula mlo mkubwa kuliko wa mtu mzima.
 
Mtoto anakuja weekends siku za wiki yuko kwao ubaya uko wapi? Pengine mazingira aliyopo mama yake sio rafiki kwa michezo labda kuna wahuni wengi au uswahilini mno. Wewe jibaba una complain
Ahame hayo mazingira atafute mazingira rafiki, asingekuwepo huyo jamaa angefanya nini? Mnatetea ujinga, umeshawahi kupeleja hata kilo 2 za mchele kwa watoto yatima kwa huruma mnayikuwa nayo au mnasema tu. Haya mnayaongea hapa ikitikea katika mausha halisi ya kwenu kuletewa watoto mnawakataa. Acheni unafiki
 
Mkuu mie sio tajiri ila wa nafsi tu mkuu, nina huruma sana na very humble when it comes to such situations. Watoto ni malaika bana angekuwa mtu mzima ungeweza hata kumtimua akajitaftie ila mtoto sio kiumbe cha kuki treat vibaya.

Chuki utakayomjengea itakuja kuwa na athari kubwa sana kwenye vizazi vya mbeleni.
Kuna watoto wengi wasio na makazi mitaani, ulishachukua wangapi mpaka sasa?
 
Alitaka kujua magreat thinker wanachukuliaje hilo mwishowe wakamchamba akajikuta kaikana hoja yake akabaki kusema wanaharibiana tabia[emoji23][emoji23]
Hajui kua akili za kuambiwa changanya na zako.
Ma great thinkers wakiona hoja nyepesi inakuvuruga wanaona kama unawavuruga tuuu na matokeo yake wao wanakuvuruga zaidi. 😂😂😂😂😂
 
Ma great thinkers wakiona hoja nyepesi inakuvuruga wanaona kama unawavuruga tuuu na matokeo yake wao wanakuvuruga zaidi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kweli wamejua kumvuruga adi kasahau kwao
 
Vipi ww ukifa mkeo akaolewa kisha libaba lingine nalo limtimue mwanao?
 
Umeenda mbali sana, muulize ameenda mara ngapi vituo vya watoto yatima na kuwa msaada
Hio hoja nyepesi sana, ni sawa na mtoto amuulize baba kwanini unalala na mama?

Kule kuna utaratibu rasmi uliowekwa na wale watoto wanakuwa managed na Taasisi.
 
Kama hamtaki huyo mtoto na ana sababu za msingi mbona anashindwa kumwambia mkewe?. Yeye ndio baba wa familia yake na sioni kwa nini ushauri wa kitu chepesi kama hiki utoke kwa great thinkers 😁😁
Anashindwa kumuingia mkewe maana anajua hana hoja ya msingi na ataonekana mpumbavu tu mbele ya mkewe. Ndio maana kaja kwenye fikra pevu huku.
 
Back
Top Bottom