Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Weeee usiniambie bhanaMnyoe Kipara na nguo usimnunulie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weeee usiniambie bhanaMnyoe Kipara na nguo usimnunulie.
Alafu inabidi nikutafute privatelyWeee usiniambie
Privately..man u can’t be serious aise..Alafu inabidi nikutafute privately
Mambo ni mazito aiseh😳😳😳 Tobaaaaa!
Ni watu wa Arusha tena mjini kabisa. Kipindi cha uchumba alikua akipendeza haswa sasa sijui ninini kimempata. inanitia simanzi
Akili yako finyu, huwezi elewa hapo ni makundi😂😂😂!?Wewe una wazimu nani hana
Oh kumbe!Akili yako finyu, huwezi elewa hapo ni makundi😂😂😂!?
Alafu makundu peke yako tu siyo kila mtu anayo😂😂😂!
Kuna Any relationship kati ya menstrual cycle na hair follicles [emoji848][emoji848]Mwanamke anapotoka kwenye siku zake anatakiwa akoshe nywele pia asuke mkeo hafanyi miezi 4 zinanunuka izo kuliko mzoga
Umeambiwa hasuki sio haogi. Kwani asiyesuka nywele hawezi kuziosha, kwani nywele zilizosukwa na zisizosukwa ni zipi zinaoshwa kirahisiMwanamke anapotoka kwenye siku zake anatakiwa akoshe nywele pia asuke mkeo hafanyi miezi 4 zinanunuka izo kuliko mzoga
Full stop [emoji3][emoji847][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkeo mchafu
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]ampige nini........[emoji2][emoji2]Mkaushie ila ukifika nyumbani mpige pum.. mpka atie adabu
Nonsense
Yani kwamba akiwa anatoka out atajisikia hali ya kupendeza pendeza tu....au asokote dred😃Anatokaje out hajasuka? 😂 au akaribie kwa team Afro
Hivi kwani nimeandika nin jamani woi[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]ampige nini........[emoji2][emoji2]
Wow...!, she must be very special.. tumpikie na chakula tumlishe😃😄😁Muitie msusi nyumbani amsuke, mnunulie nguon nzuri muekee nsani awe anazivaa
Na wewe ni mtu wa Arusha?..Ni watu wa Arusha tena mjini kabisa. Kipindi cha uchumba alikua akipendeza haswa sasa sijui ninini kimempata. inanitia simanzi