Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah vijana mna kazi Sana ,sasa umejiokotea lidada lishamba alafu unakuja kunikurupua eti msaada tutani .Iko hivi niko na demu huyoo sasa sijuii ushamba muda wote anata tuongee video call na mm huwa sifagiliii video huwa napenda chatting tuu sasa nifanyaje maana unakuta lipokwawat wengi sijuiii mgahawan linapiga yaaan full call naweza zuia video yake isiingie kwangu mm naona ksnunua smart phone mwaka 2024 mwezi huu linapenda sana video shamba mnoo msaada wadau
DahKwasababu UTOTO NI RAHA SANA,
Unakua unadeal na vitu vidogo tu coz unakua huna majukumu magumu.
Umri wako tafadhaliIko hivi niko na demu huyoo sasa sijuii ushamba muda wote anata tuongee video call na mm huwa sifagiliii video huwa napenda chatting tuu sasa nifanyaje maana unakuta lipokwawat wengi sijuiii mgahawan linapiga yaaan full call naweza zuia video yake isiingie kwangu mm naona ksnunua smart phone mwaka 2024 mwezi huu linapenda sana video shamba mnoo msaada wadau
Kama hata zinduka saivi !nakuhadi mbele yake hata akikataa! atajikana sio yeye aliokua ana post hizi thread.Huna kazi ya kufanya subiri ugonge 30
Sio uandishi tu hata mchizi anaonekana mshamba sana, angalia picha yake dp.Hata uandishi wako ni wa kishamba pia, ila tu hujioni
Mengine unamwachia Baba na Mama wasolve 🤣Kwasababu UTOTO NI RAHA SANA,
Unakua unadeal na vitu vidogo tu coz unakua huna majukumu magumu.
Vipi akiwa hom atakutwangia akiwa uchi pia?.Iko hivi niko na demu huyoo sasa sijuii ushamba muda wote anata tuongee video call na mm huwa sifagiliii video huwa napenda chatting tuu sasa nifanyaje maana unakuta lipokwawat wengi sijuiii mgahawan linapiga yaaan full call naweza zuia video yake isiingie kwangu mm naona ksnunua smart phone mwaka 2024 mwezi huu linapenda sana video shamba mnoo msaada wadau
Shida ilianza hapo kwenye demuIko hivi niko na demu huyoo sasa sijuii ushamba muda wote anata tuongee video call na mm huwa sifagiliii video huwa napenda chatting tuu sasa nifanyaje maana unakuta lipokwawat wengi sijuiii mgahawan linapiga yaaan full call naweza zuia video yake isiingie kwangu mm naona ksnunua smart phone mwaka 2024 mwezi huu linapenda sana video shamba mnoo msaada wadau
Hawezi kuacha kupokea kabla hajaja humu jf kuomba ushauri kwa washkaji zake.Mmekutana pwagu na pwaguzi.
Inakugharimu kiasi gani kutopokea hizo video calls zake?
Atuombe ushauri pia jinsi gani ya kujamiiana nae akiambatanisha na picha zao.Hawezi kuacha kupokea kabla hajaja humu jf kuomba ushauri kwa washkaji zake.