msaada. msela anachakachuliwa

msaada. msela anachakachuliwa

Achana nae hao wengi wao ni pasua kichwa,utajappata magojwa ya zinaa bure!,+HIV tena mtu muongo kwenye mapenzi ni hatari sana!! Inauma sana Kama alikuwa na penzi la Kweli jamani, mwambie asigeuke nyuma asijekuwa jiwe la chummvi bure!!!!
 
Mwambie ampotezee, maisha yenyewe mafupi ,atalpiza wangapi?? Afanye maombi atapata mke mwema! Huyo hampendi, asilazmishe penzi!
 
kwel..ila kihosteli hosteli inaonekana mzuka kufanyiana vitimbi..wakikua wataacha tu

tamaa zinawaponza wengi
Hapo kila mtu anatafuta wa kudumu nae kama jamaa alikuwa haeleweki wala haombi msichaa akaamua kulianzisha kwengine. wengine wakisema hawataki wanamaanisha wanataka
 
Hapo kila mtu anatafuta wa kudumu nae kama jamaa alikuwa haeleweki wala haombi msichaa akaamua kulianzisha kwengine. wengine wakisema hawataki wanamaanisha wanataka

ndo shida inapoanzia hapo sasa......
 
Kushauri juu ya mapenzi ni kazi rahisi sana Dunia, maana u katika nafsi ya tatu! kama ungalikuwa katika nafsi ya kwanza au ya pili ungelijua joto la mapenzi, hasa la kukuta Umpendae na kanga kwa bukta; Sijui kama mara zote Ushauri wa mwache huyo hafai ufanya kazi katika mazingira ya Mwana umpendae! Naona hamjaenda ndani katika kina cha mapenzi haswa.

Mapenzi haya shauriki kwa majibu ya kisanyansi (Facts) hata siku moja! maana hayapo kisanyasi sana siku zote, yapo rohoni na akili kama siyo moyoni! Ndio maana mara zote ushauri upaswa kuangalia roho na washauri mara zote ni vyema kuwa psychlogyst.

Huyu Bwana anaonekana kumpenda huyo dada ila nyiye mna rude kumjibu na kumpa ushauri au mnataka kusikia kajinyoga mmesahau yule aliye huko hostel ya mabibo!

Kama hujawai kushauri ni bora usome na kupita siyo kutia pilipili kwenye kidonda
 
jamaa anadai yupo kwa love relation mda wa mwaka na binti aliyenaye mara alipompata binti alijinadi kuwa ni mhanga wa love pia alishawadamp wakaka wa3 kwa kumfanya kikaragosi, sasa jamaa anasema kwa mda wate huo HAJAMJUA mwenzake. kila anapojalibu kuleta romantic zone binti amekuwa akimpush, ikafika kipindi hata kiss tu aliambiwa hajazoea saaana.. sasa wiki ilopita alienda hostel aliko binti, mungu mkubwa alimkuta but na mkaka, akasalimia yule mkaka akaaga na atarudi, jamaa akapatwa dauti nae akaondoka, baada ya masaa 3 akarudi na kugonga alimkuta yule jamaa akiwa kitandani na kaoshi na mdemu wake kanga kiunoni na hakukuwa na rummet wengine huo mda wa saa 6 na usiku. binti akamwambia huyu ni rafiki yangu anakaa hostel za mbali hivyo hawezi ondoka usiku ule . . jamaa akabaki mweupe wa kauli na kujikuta akirudi nyuma na kuondoka. anata afanye revenge so watsup guys tumsaidie aweze rudi kifikra

Mnadhani kila mwana JF ni mwanafunzi sio...!
 
kwel..ila kihosteli hosteli inaonekana mzuka kufanyiana vitimbi..wakikua wataacha tu

tamaa zinawaponza wengi
dah.......... umenikumbusha 1995 mkuu wakati tunavaa vibodi suti na vichuma vyetu vya zege, hahahaaaaaaaaaaaaa:A S 39:

kweli tumekua na tumeacha:smile-big:
 
Back
Top Bottom