The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Ahaa ahaa yangu macho.I see. Mtililiko. Mkuu inabidi ujivue gamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaa ahaa yangu macho.I see. Mtililiko. Mkuu inabidi ujivue gamba.
Mungu hapendi visasi
Hapo kila mtu anatafuta wa kudumu nae kama jamaa alikuwa haeleweki wala haombi msichaa akaamua kulianzisha kwengine. wengine wakisema hawataki wanamaanisha wanatakakwel..ila kihosteli hosteli inaonekana mzuka kufanyiana vitimbi..wakikua wataacha tu
tamaa zinawaponza wengi
Hapo kila mtu anatafuta wa kudumu nae kama jamaa alikuwa haeleweki wala haombi msichaa akaamua kulianzisha kwengine. wengine wakisema hawataki wanamaanisha wanataka
Hicho kichwa chako cha habari, nilinipeleka mbali sana, nilihisi msela wako anapumuliwa kisogoni,
jamaa anadai yupo kwa love relation mda wa mwaka na binti aliyenaye mara alipompata binti alijinadi kuwa ni mhanga wa love pia alishawadamp wakaka wa3 kwa kumfanya kikaragosi, sasa jamaa anasema kwa mda wate huo HAJAMJUA mwenzake. kila anapojalibu kuleta romantic zone binti amekuwa akimpush, ikafika kipindi hata kiss tu aliambiwa hajazoea saaana.. sasa wiki ilopita alienda hostel aliko binti, mungu mkubwa alimkuta but na mkaka, akasalimia yule mkaka akaaga na atarudi, jamaa akapatwa dauti nae akaondoka, baada ya masaa 3 akarudi na kugonga alimkuta yule jamaa akiwa kitandani na kaoshi na mdemu wake kanga kiunoni na hakukuwa na rummet wengine huo mda wa saa 6 na usiku. binti akamwambia huyu ni rafiki yangu anakaa hostel za mbali hivyo hawezi ondoka usiku ule . . jamaa akabaki mweupe wa kauli na kujikuta akirudi nyuma na kuondoka. anata afanye revenge so watsup guys tumsaidie aweze rudi kifikra
ndio masharouharo language mazeeDah! Kiswahili kweli kigumu.
dah.......... umenikumbusha 1995 mkuu wakati tunavaa vibodi suti na vichuma vyetu vya zege, hahahaaaaaaaaaaaaa:A S 39:kwel..ila kihosteli hosteli inaonekana mzuka kufanyiana vitimbi..wakikua wataacha tu
tamaa zinawaponza wengi