spade4spade
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 2,207
- 2,156
Mkuu hakuna haja ya kupanda basi...halafu accessibility ya vituo vya mabasi kwa miji ya China huwa vipo mbali kidogo na mjini...
Nanjing to Shanghai kuna 沪宁城际高速铁路 ile fast treni kama D 号车(D hao che) au G 七号车 (G qi hao che) au maarufu kama bullet train...hii huchukua muda mfupi tu na inatokea vituo vyote pale Nanjing na Shanghai
Okay,
Ila Shanghai(hii ni manspaa ndani ya Jiangsu) kuna wabongo kadhaa pale Jiao Tong University...NanJing pia wapo
Hopefully atapata tu fursa ya kuonana nao...别着急朋友!
Nan Jing University yupo Bhoke anajifunza kichina, Nan Jing Artillery Academy wapo maafisa wanne wa tz na Shanghai University karibu na mnara mkuu wa posta una wawili. Nitaku PM e-mail zao punde ngoja nimalizie. Kutoka Nan Jing kwenda Shanghai ni saa mbili kwa basi lkn sijajua km ile treni ya ardhini imeshaisha.
Mkuu hakuna haja ya kupanda basi...halafu accessibility ya vituo vya mabasi kwa miji ya China huwa vipo mbali kidogo na mjini...
Nanjing to Shanghai kuna 沪宁城际高速铁路 ile fast treni kama D 号车(D hao che) au G 七号车 (G qi hao che) au maarufu kama bullet train...hii huchukua muda mfupi tu na inatokea vituo vyote pale Nanjing na Shanghai
Mitanzania mioga sana ikiwa inaenda huko nje yaani kila kitu mpaka iunganishwe na mtu aliyeko huko.ujinga mtupu
Wakati natoka ilikuwa imesimamishwa kwa ajili ya matengenezo. Treni kutoka Nan Jing haikuwepo hadi 2011 walipotengeneza. Walipofanya majaribio ilileta hitilafu wakasimama.
真的吗?。。。。。。。。。。。。
真的....