Msaada:Mtanzania asomae jiangsu, China

Msaada:Mtanzania asomae jiangsu, China

Mkuu hakuna haja ya kupanda basi...halafu accessibility ya vituo vya mabasi kwa miji ya China huwa vipo mbali kidogo na mjini...

Nanjing to Shanghai kuna 沪宁城际高速铁路 ile fast treni kama D 号车(D hao che) au G 七号车 (G qi hao che) au maarufu kama bullet train...hii huchukua muda mfupi tu na inatokea vituo vyote pale Nanjing na Shanghai



Wakati natoka ilikuwa imesimamishwa kwa ajili ya matengenezo. Treni kutoka Nan Jing haikuwepo hadi 2011 walipotengeneza. Walipofanya majaribio ilileta hitilafu wakasimama.
 
Okay,

Ila Shanghai(hii ni manspaa ndani ya Jiangsu) kuna wabongo kadhaa pale Jiao Tong University...NanJing pia wapo

Hopefully atapata tu fursa ya kuonana nao...别着急朋友!

Xiexe ni laoban!...kama unawajua hao waliopo Jiao Tong unv niPM mkuu
 
Nan Jing University yupo Bhoke anajifunza kichina, Nan Jing Artillery Academy wapo maafisa wanne wa tz na Shanghai University karibu na mnara mkuu wa posta una wawili. Nitaku PM e-mail zao punde ngoja nimalizie. Kutoka Nan Jing kwenda Shanghai ni saa mbili kwa basi lkn sijajua km ile treni ya ardhini imeshaisha.

Ahsante sana mkuu....nazisubiria!
 
Mkuu hakuna haja ya kupanda basi...halafu accessibility ya vituo vya mabasi kwa miji ya China huwa vipo mbali kidogo na mjini...

Nanjing to Shanghai kuna 沪宁城际高速铁路 ile fast treni kama D 号车(D hao che) au G 七号车 (G qi hao che) au maarufu kama bullet train...hii huchukua muda mfupi tu na inatokea vituo vyote pale Nanjing na Shanghai



Ahsante kwa ufafanuzi mkuu
 
Mitanzania mioga sana ikiwa inaenda huko nje yaani kila kitu mpaka iunganishwe na mtu aliyeko huko.ujinga mtupu

Werevu ni upi?...mkuu dont judge from unknown ground! Huu tunaofanya hapa ni msaada mkubwa kwa mtanzania mwenzetu....kama wewe unaona huu ni "ujinga" basi pita tu kimya na "werevu" wako
 
Wakati natoka ilikuwa imesimamishwa kwa ajili ya matengenezo. Treni kutoka Nan Jing haikuwepo hadi 2011 walipotengeneza. Walipofanya majaribio ilileta hitilafu wakasimama.

Inafanya kazi sasa...

Btw naona mleta mada kaweka bayana sasa ni mji wa Suzhou nadhani watanzania wa Shanghai ndio watakuwa karibu zaidi
 
Back
Top Bottom