Sema Sasa
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 651
- 898
Mtoto wa mwaka Mmoja na nusu anakohoa leo ni siku ya nane na ni kikohozi kikavu. Alipewa antibiotic fulani ya kifua siku ya kwanza iligoma, basi akachomwa sindano nne za cristapen kwa ajili ya pneumonia lakini hakuna mabadiliko, akaongezewa antibiotics nyingine amplicox na mucolyn lakini bado,
Leo Kapimwa kifua Dr. kasema hana shida yeyote ila kabadilishiwa dawa Kapewa Co trimoxazole bado hakuna badiliko licha ya kuanza kutumia.
Sasa sijui shida ni nini.
Leo Kapimwa kifua Dr. kasema hana shida yeyote ila kabadilishiwa dawa Kapewa Co trimoxazole bado hakuna badiliko licha ya kuanza kutumia.
Sasa sijui shida ni nini.