Msaada: Mtoto ananyonya sana

Msaada: Mtoto ananyonya sana

Bila Shaka huyo mtoto ni wa kiume, huwa wananyonya hao....halafu Baba Kama una wivu vile kila saa kidume kinaning'inia kwenye nyonyo ya nkeo🤣🤣🤣
Yaani nimeona huyu hahitaji ushauri bali makanyo.

Kwa nini wana zaa kabla ya kupevuka?

Yaani hajui ulaji wa mtoto wa kiume na sisi wanaume kiujumla?

Au kwakuwa yeye anaishia kula chips basi anadhani ndo ulaji wa mwanaume?

Bahati yake siyo kijana wangu,ningempiga makofi mbele ya mke wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vijana na mabinti wa siku hizi ni hopeless kabisa especially eneo la uzazi. Kuna siku namsikia mdogo wangu (mtoto wa kike wa mama yangu mdogo) anaongea na mwenzake kwenye simu anamuomba ushauri huyo mwenzake juu ya mtoto kuwa na kwikwi na kucheua maziwa kama anatapika. Huyo mwenzake kwenye simu anamwambia achukue majani gani sijui amuogeshee mtoto kisha hiyo hali itaisha.

Ninasubiria wamalize kuongea nikaanza kumsema kwa uzembe wake wa kutokujifunza kuwa mtoto huwa anacheuwa na kupatwa na kwikwi kama matokeo ya uzembe wa mama yake kufeli kumuweka begani abeuwe baada ya kunyonyeshwa.
Dah!

Yaani huyo naye utakuta wanashauriana eti wajitenge mbali na wazazi. Wana matatizo mengi sana,sijui kwakuwa vijiwe vyao ni sinema zetu.
 
Yapo maziwa lishe maalumu kwaajiri ya watoto ambao aidha mama amefariki au ana matatizo ya kiafya ambayo yatamfanya ashindwe kunyonyesha.

Sasa mkeo hana shida yoyote ni lishe tu hapo ndio anafeli. Mtoto wa kiume huwa ananyonya sana so sio mchezo mchezo kumkuza hadi atapoacha kunyonya.

Fanya hivi, mtengenezee uji wa lishe mkeo ili aweze kutengeneza maziwa mtoto anyonye hadi akinai. Huo uji uweke nafaka hizi. Mahindi lishe ukikosa hata mahindi ya kawaida yatafaa, ngano, ulezi, mihogo, soya maziwa au soya lishe, mchele, mbegu za maboga, karanga, ufuta na mtama.

Hizi nafaka utaweka kwa ratio tofauti sio kwa kiwango sawa. Yaani kwa mfano huwezi kuweka zote zikawa kilo moja moja bali utazingatia ujazo wa jumla unaotaka kutengeneza kisha utagawa ratio kulingana na kilo za jumla. Mfano utataka kutengeneza kilo 30 za unga kwajiri ya uji then unaweza fanya kilo tano ni za mahindi lishe, kilo 2 ni za mchele, tatu ni za ulezi, kg mbili ni za mbegu za maboga, 3 za ufuta, kuendelea. Mimi nimeweka rough estimate hapo ila upangiliaji wa nafaka na kiwango cha kilo zake unatakiwa kuzingatia kwanza nafaka inalenga nini maana uji wa lishe wa mwanamke anayenyonyesha ni tofauti na uji wa lishe wa mtoto na pia ni tofauti na uji wa lishe wa mwanaume anayejenga mwili wake.

Mtoto anahitaji sana nafaka zenye protein kama karanga, soya lishe, mahindi lishe, ngano, na hizo zingine zinawekwa kubalance tu lishe kumpa mahitaji mengine ya virutubisho na madini muhimu.

Ukija mwanamke anayenyonyesha, atahitaji zaidi ujazo wa nafaka zenye kiwango kikubwa cha material ya chokaa au wanga na vingine vya kuzalisha maziwa kama mchele, mahindi ya kawaida, mihogo, karanga, ufuta, mtama, na hizo nyingine zinamuongezea zaidi nguvu ya mwili katika kuhimili mikiki wakati ananyonyesha. Pia usisahau kumpa gemu la kutosha mwanamke anayenyonyesha akiwa na furaha bila stress maziwa huwa hadi yanachuruzika kama chemchem.

Kwa mwanaume lishe yake kwenye uji mahitaji yatakuwa tofauti sana atahitaji kulingana na ana malengo gani kama ni kutengeneza sana mbegu za kiume na kuongeza nguvu za kufanya mapenzi then lishe yake inataka ratio balance ya tofauti na kama anataka kujenga mwili kwa maana kunenepsha mwili kama yupo chini ya uzito unaotakiwa. Ila pia kama anataka kubalance vyote pia inawezakana.

Ila huu uji unakuwa mtamu zaidi ukipikwa kwa kuweka nazi badala ya maji wakati wa kuuchemsha nazi au maziwa ya ng'ombe ambayo hayajatiwa maji kwa maana kuchakachuliwa. Na ukishaweka mezani unaweza kuweka siagi ya karanga uji unakuwa ni mzito sana , mtamu sana , unashibisha sana na unafanya kazi yake ipasavyo.
Siyo mtoto tu,hata anapokuwa na ujauzito wa mtoto wa kiume,kuamka usiku wa ma8 na kusaka chakula ni kawaida. Wakati mwingine hata ujauzito wa mtoto wa kike kuna baadhi nao ulazimika kuamka na kutafuta chakula usiku wa ma8 hasa kuanzia ujauzito wa miezi 7.
 
Mama ale ashibe, kumbuka usimpe mtoto chakula chochote hata maji mpaka atakapofunga miezi sita.
 
Kiongozi
Inaelekea mama hana maziwa ya kutosha. Jitahidi mama ale vitu vya kumuongezea maziwa.
Kama bajeti haiko vizuri kununua hayo maziwa ya formula, Mwanzishie maziwa ya ngombe (una weka nusu maziwa na nusu maji) mf: unachanganya kikombe kimoja maziwa na kikombe kimoja maji ili yawe mepesi kabisa. Na ikiwezekana upate mtu mwenye ngombe kabisa ili akupe maziwa ya ngombe mmoja (asibadilishe badilishe ngombe) wafugaji wanajua ukimwambia maziwa ya mtoto
Akinywa hayo maziwa yaliyo changanywa na maji akiteremshia na ya mama atakuwa poa kabisa.....
Asante
 
Bila Shaka huyo mtoto ni wa kiume, huwa wananyonya hao....halafu Baba Kama una wivu vile kila saa kidume kinaning'inia kwenye nyonyo ya nkeo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe
 
Miezi mitatu inaweza kumsababishia matatizo mtoto, Maziwa ya ng'ombe kabla ya umri wa miezi 12 inaweza kumuweka mtoto hatarini mf.-kutokwa na damu ndani ya utumbo . Pia ina protini nyingi na madini ambayo ni ngumu kwa figo za mtoto mchanga kuchuja kwa urahisi na haina kiasi sahihi cha virutubisho kwa mtoto. At least miezi 9 kwa kufosi lakini sio salama risk ni kubwa
Asante
 
Yapo maziwa lishe maalumu kwaajiri ya watoto ambao aidha mama amefariki au ana matatizo ya kiafya ambayo yatamfanya ashindwe kunyonyesha.

Sasa mkeo hana shida yoyote ni lishe tu hapo ndio anafeli. Mtoto wa kiume huwa ananyonya sana so sio mchezo mchezo kumkuza hadi atapoacha kunyonya.

Fanya hivi, mtengenezee uji wa lishe mkeo ili aweze kutengeneza maziwa mtoto anyonye hadi akinai. Huo uji uweke nafaka hizi. Mahindi lishe ukikosa hata mahindi ya kawaida yatafaa, ngano, ulezi, mihogo, soya maziwa au soya lishe, mchele, mbegu za maboga, karanga, ufuta na mtama.

Hizi nafaka utaweka kwa ratio tofauti sio kwa kiwango sawa. Yaani kwa mfano huwezi kuweka zote zikawa kilo moja moja bali utazingatia ujazo wa jumla unaotaka kutengeneza kisha utagawa ratio kulingana na kilo za jumla. Mfano utataka kutengeneza kilo 30 za unga kwajiri ya uji then unaweza fanya kilo tano ni za mahindi lishe, kilo 2 ni za mchele, tatu ni za ulezi, kg mbili ni za mbegu za maboga, 3 za ufuta, kuendelea. Mimi nimeweka rough estimate hapo ila upangiliaji wa nafaka na kiwango cha kilo zake unatakiwa kuzingatia kwanza nafaka inalenga nini maana uji wa lishe wa mwanamke anayenyonyesha ni tofauti na uji wa lishe wa mtoto na pia ni tofauti na uji wa lishe wa mwanaume anayejenga mwili wake.

Mtoto anahitaji sana nafaka zenye protein kama karanga, soya lishe, mahindi lishe, ngano, na hizo zingine zinawekwa kubalance tu lishe kumpa mahitaji mengine ya virutubisho na madini muhimu.

Ukija mwanamke anayenyonyesha, atahitaji zaidi ujazo wa nafaka zenye kiwango kikubwa cha material ya chokaa au wanga na vingine vya kuzalisha maziwa kama mchele, mahindi ya kawaida, mihogo, karanga, ufuta, mtama, na hizo nyingine zinamuongezea zaidi nguvu ya mwili katika kuhimili mikiki wakati ananyonyesha. Pia usisahau kumpa gemu la kutosha mwanamke anayenyonyesha akiwa na furaha bila stress maziwa huwa hadi yanachuruzika kama chemchem.

Kwa mwanaume lishe yake kwenye uji mahitaji yatakuwa tofauti sana atahitaji kulingana na ana malengo gani kama ni kutengeneza sana mbegu za kiume na kuongeza nguvu za kufanya mapenzi then lishe yake inataka ratio balance ya tofauti na kama anataka kujenga mwili kwa maana kunenepsha mwili kama yupo chini ya uzito unaotakiwa. Ila pia kama anataka kubalance vyote pia inawezakana.

Ila huu uji unakuwa mtamu zaidi ukipikwa kwa kuweka nazi badala ya maji wakati wa kuuchemsha nazi au maziwa ya ng'ombe ambayo hayajatiwa maji kwa maana kuchakachuliwa. Na ukishaweka mezani unaweza kuweka siagi ya karanga uji unakuwa ni mzito sana , mtamu sana , unashibisha sana na unafanya kazi yake ipasavyo.
Asante sana kwa maelezo mazur
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vijana na mabinti wa siku hizi ni hopeless kabisa especially eneo la uzazi. Kuna siku namsikia mdogo wangu (mtoto wa kike wa mama yangu mdogo) anaongea na mwenzake kwenye simu anamuomba ushauri huyo mwenzake juu ya mtoto kuwa na kwikwi na kucheua maziwa kama anatapika. Huyo mwenzake kwenye simu anamwambia achukue majani gani sijui amuogeshee mtoto kisha hiyo hali itaisha.

Ninasubiria wamalize kuongea nikaanza kumsema kwa uzembe wake wa kutokujifunza kuwa mtoto huwa anacheuwa na kupatwa na kwikwi kama matokeo ya uzembe wa mama yake kufeli kumuweka begani abeuwe baada ya kunyonyeshwa.
Safi
 
Maziwa ya ng'ombe hapana mkuu. Bado mdogo sana. Atafute ua kopo na ahakikishe siyo feki. Na pia ya kopo anatakiwa ajuwe kuna ya umri tofauti tofauti. All in all, watoto wa kiume wananyonya sana hivyo mama ale vizuri sana kama wengi walivyoshauri.
Binafsi napenda kubishana kwa hoja pamoja na kwamba najua kabisa huyo mtoto ni mdogo sana na ndio hivyo tena sio kila mtu anaweza kumudu kununua maziwa ya formula
Unaweza kutuandikia tofauti ya component za maziwa ya Binadamu na ya ng"ombe
Miezi mitatu inaweza kumsababishia matatizo mtoto, Maziwa ya ng'ombe kabla ya umri wa miezi 12 inaweza kumuweka mtoto hatarini mf.-kutokwa na damu ndani ya utumbo . Pia ina protini nyingi na madini ambayo ni ngumu kwa figo za mtoto mchanga kuchuja kwa urahisi na haina kiasi sahihi cha virutubisho kwa mtoto. At least miezi 9 kwa kufosi lakini sio salama risk ni kubwa

Yapo maziwa lishe maalumu kwaajiri ya watoto ambao aidha mama amefariki au ana matatizo ya kiafya ambayo yatamfanya ashindwe kunyonyesha.

Sasa mkeo hana shida yoyote ni lishe tu hapo ndio anafeli. Mtoto wa kiume huwa ananyonya sana so sio mchezo mchezo kumkuza hadi atapoacha kunyonya.

Fanya hivi, mtengenezee uji wa lishe mkeo ili aweze kutengeneza maziwa mtoto anyonye hadi akinai. Huo uji uweke nafaka hizi. Mahindi lishe ukikosa hata mahindi ya kawaida yatafaa, ngano, ulezi, mihogo, soya maziwa au soya lishe, mchele, mbegu za maboga, karanga, ufuta na mtama.

Hizi nafaka utaweka kwa ratio tofauti sio kwa kiwango sawa. Yaani kwa mfano huwezi kuweka zote zikawa kilo moja moja bali utazingatia ujazo wa jumla unaotaka kutengeneza kisha utagawa ratio kulingana na kilo za jumla. Mfano utataka kutengeneza kilo 30 za unga kwajiri ya uji then unaweza fanya kilo tano ni za mahindi lishe, kilo 2 ni za mchele, tatu ni za ulezi, kg mbili ni za mbegu za maboga, 3 za ufuta, kuendelea. Mimi nimeweka rough estimate hapo ila upangiliaji wa nafaka na kiwango cha kilo zake unatakiwa kuzingatia kwanza nafaka inalenga nini maana uji wa lishe wa mwanamke anayenyonyesha ni tofauti na uji wa lishe wa mtoto na pia ni tofauti na uji wa lishe wa mwanaume anayejenga mwili wake.

Mtoto anahitaji sana nafaka zenye protein kama karanga, soya lishe, mahindi lishe, ngano, na hizo zingine zinawekwa kubalance tu lishe kumpa mahitaji mengine ya virutubisho na madini muhimu.

Ukija mwanamke anayenyonyesha, atahitaji zaidi ujazo wa nafaka zenye kiwango kikubwa cha material ya chokaa au wanga na vingine vya kuzalisha maziwa kama mchele, mahindi ya kawaida, mihogo, karanga, ufuta, mtama, na hizo nyingine zinamuongezea zaidi nguvu ya mwili katika kuhimili mikiki wakati ananyonyesha. Pia usisahau kumpa gemu la kutosha mwanamke anayenyonyesha akiwa na furaha bila stress maziwa huwa hadi yanachuruzika kama chemchem.

Kwa mwanaume lishe yake kwenye uji mahitaji yatakuwa tofauti sana atahitaji kulingana na ana malengo gani kama ni kutengeneza sana mbegu za kiume na kuongeza nguvu za kufanya mapenzi then lishe yake inataka ratio balance ya tofauti na kama anataka kujenga mwili kwa maana kunenepsha mwili kama yupo chini ya uzito unaotakiwa. Ila pia kama anataka kubalance vyote pia inawezakana.

Ila huu uji unakuwa mtamu zaidi ukipikwa kwa kuweka nazi badala ya maji wakati wa kuuchemsha nazi au maziwa ya ng'ombe ambayo hayajatiwa maji kwa maana kuchakachuliwa. Na ukishaweka mezani unaweza kuweka siagi ya karanga uji unakuwa ni mzito sana , mtamu sana , unashibisha sana na unafanya kazi yake ipasavyo.

Kwa upande wa nafaka forcus kwa nafaka ambazo hazijakobolewa (whole grain) na sio lazima uzipate vyote kwa wakati mmoja. (mbaazi & Ufuta ni viungo muhimu pia
Nafikiri akumbuke pia kuwa, akisha changanya maharage ajue yanachelewa kuiva hivyo kama ni uji upikwe muda mrefu
 
Mama ajitahidi kula sana chakula, uji wa lishe aweke na pilipili manga ya kutosha kwenye uji na chai pia. Mboga za majani, maji ya kunywa ya kutosha na supu za moto. Anaweza tumia unga wa mbegu za maboga kwenye vyakula vyake hasa uji na mbogamboga. Pia maziwa fresh ya ng'ombe yanaongeza maziwa( anywe mama)

Kuna faida sana kunyonyesha miezi 6 bila kumpa chochote, magonjwa na hospitali hamtapasikia kabisa. Mama asiwe mvivu wa kula hata usiku aamke kula. Jinsi anavyonyonyesha sana ndio maziwa yanajitengeneza kwa wingi.

Nina kichanga wa wiki na nusu wa kike ananyonya balaa usiku as long as yupo macho ananyonya tuu, so nakula sana bila uvivu, usiku uji hata saa 7 na saa 9 usiku naamka kunywa chai ya pilipilimanga ndio kila baada kunyonyesha nakunywa. Usimpe mtoto uji au maziwa ya ng'ombe.
 
Yapo maziwa lishe maalumu kwaajiri ya watoto ambao aidha mama amefariki au ana matatizo ya kiafya ambayo yatamfanya ashindwe kunyonyesha.

Sasa mkeo hana shida yoyote ni lishe tu hapo ndio anafeli. Mtoto wa kiume huwa ananyonya sana so sio mchezo mchezo kumkuza hadi atapoacha kunyonya.

Fanya hivi, mtengenezee uji wa lishe mkeo ili aweze kutengeneza maziwa mtoto anyonye hadi akinai. Huo uji uweke nafaka hizi. Mahindi lishe ukikosa hata mahindi ya kawaida yatafaa, ngano, ulezi, mihogo, soya maziwa au soya lishe, mchele, mbegu za maboga, karanga, ufuta na mtama.

Hizi nafaka utaweka kwa ratio tofauti sio kwa kiwango sawa. Yaani kwa mfano huwezi kuweka zote zikawa kilo moja moja bali utazingatia ujazo wa jumla unaotaka kutengeneza kisha utagawa ratio kulingana na kilo za jumla. Mfano utataka kutengeneza kilo 30 za unga kwajiri ya uji then unaweza fanya kilo tano ni za mahindi lishe, kilo 2 ni za mchele, tatu ni za ulezi, kg mbili ni za mbegu za maboga, 3 za ufuta, kuendelea. Mimi nimeweka rough estimate hapo ila upangiliaji wa nafaka na kiwango cha kilo zake unatakiwa kuzingatia kwanza nafaka inalenga nini maana uji wa lishe wa mwanamke anayenyonyesha ni tofauti na uji wa lishe wa mtoto na pia ni tofauti na uji wa lishe wa mwanaume anayejenga mwili wake.

Mtoto anahitaji sana nafaka zenye protein kama karanga, soya lishe, mahindi lishe, ngano, na hizo zingine zinawekwa kubalance tu lishe kumpa mahitaji mengine ya virutubisho na madini muhimu.

Ukija mwanamke anayenyonyesha, atahitaji zaidi ujazo wa nafaka zenye kiwango kikubwa cha material ya chokaa au wanga na vingine vya kuzalisha maziwa kama mchele, mahindi ya kawaida, mihogo, karanga, ufuta, mtama, na hizo nyingine zinamuongezea zaidi nguvu ya mwili katika kuhimili mikiki wakati ananyonyesha. Pia usisahau kumpa gemu la kutosha mwanamke anayenyonyesha akiwa na furaha bila stress maziwa huwa hadi yanachuruzika kama chemchem.

Kwa mwanaume lishe yake kwenye uji mahitaji yatakuwa tofauti sana atahitaji kulingana na ana malengo gani kama ni kutengeneza sana mbegu za kiume na kuongeza nguvu za kufanya mapenzi then lishe yake inataka ratio balance ya tofauti na kama anataka kujenga mwili kwa maana kunenepsha mwili kama yupo chini ya uzito unaotakiwa. Ila pia kama anataka kubalance vyote pia inawezakana.

Ila huu uji unakuwa mtamu zaidi ukipikwa kwa kuweka nazi badala ya maji wakati wa kuuchemsha nazi au maziwa ya ng'ombe ambayo hayajatiwa maji kwa maana kuchakachuliwa. Na ukishaweka mezani unaweza kuweka siagi ya karanga uji unakuwa ni mzito sana , mtamu sana , unashibisha sana na unafanya kazi yake ipasavyo.

Mkuu Zemanda ,

Mfano mama mwenye maziwa mepesi, ili apate maziwa mazito na ya kutosha taja ratio ya kila nafaka achanganye kusaga unga wa uji. Let say kilo 5.

-Kaveli-
 
atakuja kuwa na akili lakin fisadi huyo! mfundishe kuwa na kiasi
 
Back
Top Bottom