Njaa
JF-Expert Member
- Dec 6, 2009
- 1,022
- 412
Hello wanajamvi
Naomba ushauri kwenye hili: Nipo kwenye malezi ya mtoto wa miezi 14, kwa bahati mbaya huyu mtoto amekuwa akitumia diapers (pampers) tangu kuzaliwa kwake hadi hivi sasa.
Kwa muda wote huo amekuwa akijisaidia kwenye hizo diapers. Muda ulipofika wa kumfundisha kutumia pot au kukaa miguuni hataki kabisa, tena hata ile haja ya kutaka kujiasaidia huwa inakatika. Ukimuacha na nguo za kawaida, akijinyea analia na anaogopa sana mavi yake.
Je ni kweli its too late? Tufanyeje aweze kuzoea potty na kutoogopa mavi yake mwenyewe? Maoni please
Nawakilisha
Naomba ushauri kwenye hili: Nipo kwenye malezi ya mtoto wa miezi 14, kwa bahati mbaya huyu mtoto amekuwa akitumia diapers (pampers) tangu kuzaliwa kwake hadi hivi sasa.
Kwa muda wote huo amekuwa akijisaidia kwenye hizo diapers. Muda ulipofika wa kumfundisha kutumia pot au kukaa miguuni hataki kabisa, tena hata ile haja ya kutaka kujiasaidia huwa inakatika. Ukimuacha na nguo za kawaida, akijinyea analia na anaogopa sana mavi yake.
Je ni kweli its too late? Tufanyeje aweze kuzoea potty na kutoogopa mavi yake mwenyewe? Maoni please
Nawakilisha