Msaada: Mtoto hataki kutumia potty

Msaada: Mtoto hataki kutumia potty

Angalia mtoto wako huwa anapata haja mida gani.

Ikifika mida mida hiyo mkalishe kwenye potty ikiwekekana umwekee cartoon au uimbe nae nyimbo za nursery.

Akiweza kutoa Haja kwenye potty mke zawadi. Makofi yanatosha.


Nyie kina mama wa siku hizi mna vituko kweli !!🤣
 
Hii ya kuogopa haja yake nakumbuka niliona pia kwa mdogo wangu


Mimi nawashangaa sana, hivi wewe huogopi haja??, hivi ni nani anayependa kinyesi??!!🤣.

Wewe unaweza kukaa na kinyesi??.

Huyo mdogo wako lazima hivi sasa ni more intelligent than you, presumebly.
🤣
 
Hello wanajamvi

Naomba ushauri kwenye hili: Nipo kwenye malezi ya mtoto wa miezi 14, kwa bahati mbaya huyu mtoto amekuwa akitumia diapers (pampers) tangu kuzaliwa kwake hadi hivi sasa.

Kwa muda wote huo amekuwa akijisaidia kwenye hizo diapers. Muda ulipofika wa kumfundisha kutumia pot au kukaa miguuni hataki kabisa, tena hata ile haja ya kutaka kujiasaidia huwa inakatika. Ukimuacha na nguo za kawaida, akijinyea analia na anaogopa sana mavi yake.

Je ni kweli its too late? Tufanyeje aweze kuzoea potty na kutoogopa mavi yake mwenyewe? Maoni please

Nawakilisha
Endelea kumbembeleza hivyo hivyo taratibu atakuja kukubali. Mpe mda
 
Mimi nawashangaa sana, hivi wewe huogopi haja??, hivi ni nani anayependa kinyesi??!!🤣.

Wewe unaweza kukaa na kinyesi??.

Huyo mdogo wako lazima hivi sasa ni more intelligent than you, presumebly.
🤣

Wapi nimeandika kuhusu mimi kuogopa ama kutokuogopa

Acha kukurupuka
 
Hii ya kuogopa haja yake nakumbuka niliona pia kwa mdogo wangu

Hiyo Uliona kwa mdogo wako, swali ni; je mama yako hakukuambia na wewe ulikuwa ukiogopa n'nyaa yako ulipokuwa mdogo kama huyo mdogo wako??!!--- point ipo hapo.
 
Mimi nawashangaa sana, hivi wewe huogopi haja??, hivi ni nani anayependa kinyesi??!!🤣.

Wewe unaweza kukaa na kinyesi??.

Huyo mdogo wako lazima hivi sasa ni more intelligent than you, presumebly.
🤣
Hiyo Uliona kwa mdogo wako, swali ni; je mama yako hakukuambia na wewe ulikuwa ukiogopa n'nyaa yako ulipokuwa mdogo kama huyo mdogo wako??!!--- point ipo hapo.
Kumbe unajua kuuliza

Siku nyingine uwe na utaratibu wa kuuliza kwanza kabla hujakurupuka ku-assume unachoamini na kuleta ujuaji wa kijinga
 
Kumbe unajua kuuliza

Siku nyingine uwe na utaratibu wa kuuliza kwanza kabla hujakurupuka ku-assume unachoamini na kuleta ujuaji wa kijinga


Unaposema uliona kwa mdogo wako sasa kwako ilikuwa vipi??.

Unaposema, mfano, mdogo wako alikuwa mwizi alipokuwa mdogo, most likely wewe hukuwa mwizi ulipokuwa mdogo. Use yiur common sense young lady.🤣
 
Unaposema uliona kwa mdogo wako sasa kwako ilikuwa vipi??.

Unaposema, mfano, mdogo wako alikuwa mwizi alipokuwa mdogo, most likely wewe hukuwa mwizi ulipokuwa mdogo. Use yiur common sense young lady.🤣
Siku nyingine uwe na utaratibu wa kuuliza kwanza kabla hujakurupuka ku-assume unachoamini na kuleta ujuaji wa kijinga


Zingatia huu ushauri tafadhali
 
Hello wanajamvi

Naomba ushauri kwenye hili: Nipo kwenye malezi ya mtoto wa miezi 14, kwa bahati mbaya huyu mtoto amekuwa akitumia diapers (pampers) tangu kuzaliwa kwake hadi hivi sasa.

Kwa muda wote huo amekuwa akijisaidia kwenye hizo diapers. Muda ulipofika wa kumfundisha kutumia pot au kukaa miguuni hataki kabisa, tena hata ile haja ya kutaka kujiasaidia huwa inakatika. Ukimuacha na nguo za kawaida, akijinyea analia na anaogopa sana mavi yake.

Je ni kweli its too late? Tufanyeje aweze kuzoea potty na kutoogopa mavi yake mwenyewe? Maoni please

Nawakilisha
Endelea kumlazimisha ajifunze kutumia pot hata akilia mlazimishe hivyohivyo baadaye atazoea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni mazoea tu mbadilishieni pampers avae wakat wa kulala tu na safari

mama ahakiishe mtoto akiamka tu asubh unapanga either kwenye miguu au kwenye pot akshiba tu apangwe asiwe mvivu itasaidia kidogo

wangu yuko na six months lakini akishikwa na haja anahangaika mpaka nimpange akijisaidia tu anakua sawa na nilianza hivo tangu yuko na three months
[emoji38][emoji38]nitatia neno PM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zingatia huu ushauri tafadhali


Joana, pretty young lady.

Tufanye mjadala uwe mfupi.

Jibu swali hili; je wewe ulipokuwa mtoto ulikuwa huogopi au unaogopa kinyesi chako???
 
Hii ya kuogopa haja yake nakumbuka niliona pia kwa mdogo wangu

Hahaahhaha alikuwa akijisaidia kama hakuna tissue atalia hadi apate wa kumsafisha,utoto bhana!!....yani alikuwa anaona sio haki kushika haja yake mwenyewe,lakini mwingine ndio ana haki ya kushika![emoji23][emoji23]

Sijui walikuja kumsaidia kwa namna gani lakini nafikiri ni suala la utoto,kadri atakavyozidi kukua atabadilika
Endeleeni kumuweka kwenye potty,atazoea labda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu swali hili; je wewe ulipokuwa mtoto ulikuwa huogopi au unaogopa kinyesi chako???

Siku nyingine anza kuuliza namna hii

Asante kwa kunielewa na kufanyia kazi ushauri
 
Hii ya kuogopa haja yake nakumbuka niliona pia kwa mdogo wangu

Hahaahhaha alikuwa akijisaidia kama hakuna tissue atalia hadi apate wa kumsafisha,utoto bhana!!....yani alikuwa anaona sio haki kushika haja yake mwenyewe,lakini mwingine ndio ana haki ya kushika!😂😂

Sijui walikuja kumsaidia kwa namna gani lakini nafikiri ni suala la utoto,kadri atakavyozidi kukua atabadilika
Endeleeni kumuweka kwenye potty,atazoea labda
watoto bhana mi nawaweza sana wana mambo ya ajabu, Swalehe enzi hizo nmembeba fresh tu unakuta anaanza kulia namshusha chini na mimi naanza kulia zaidi yake, naigiza lakini nalia wee tena kwa sauti kubwa unakuta kimenyamaza kina anza kunishika macho au mdomo kama kinanibembeleza mchezo Usha badilika 😂
Na tulia tunaanza kucheka

watoto wana vijimambo sana
 
Back
Top Bottom