mchakavumlasana
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 389
- 212
- Thread starter
-
- #21
Kawaida sana, ningeshangaa kama angekuwa anapupu kila siku kumbuka maziwa ya mama yana taka kidogo sana kiasi kwamba kujikusanya mpaka kuipata choo ya kutoka inahitaji muda
Wahi hospital dada yangu.....
Unaishi mji gani? by the way kuna madaktari bingwa wa watoto ndio wanadeal nao.
Unaishi mji gani? by the way kuna madaktari bingwa wa watoto ndio wanadeal nao.
Wa umri gani? Mkamulie chungwa na umpe vijiko hata vijiko viwili au vitatu. kisha utupe mrejesho kesho
Habari.
Nimeileta hii humu maana jukwaa la madaktari huchukua muda kupata msaada wa haraka, na huku ndio kuna wadau wengi.
Akina mama mnafanyaje mtoto wa wiki tatu akifunga choo? Hospitali wamempa infacol tu naona haijasaidia. Maji ya uvuguvugu nayo hayajasaidia.
Naombeni Mbinu mbadala.
Cheers
Mbona unahangaika mkuu unaweza pata dawa ikamsaidia lkn tatizo litarejea palepale mpaka avuke miezi mitatu ndio hupata choo marakwamara
Hajapata Choo muda gani? Sijui ni kawaida am not sure lakini, mwanangu alikua anakaa 4 hadi 6 days bila kupupu na sikuwahi kumpa chochote na hiyo hali ikaisha yenyewe tu pole
Evelyn Salt ameongea jambo la maana na lizingatie, watoto wa umri huokufunga choo kwa siku 3-5 mara nyingi ni kawaida (kaa hakuna tatizo lingine). Ikizidi hapo waone madaktari. Kuna wengine hua wanawapa mafuta ya samaki!
Jamani wewe dada unavyonitia "genye" loh.Aya basi usiku mwema.
Aaaah! kwenye mambo hayo mm nilikuwa sikufikirii kabisa mkuu, kumbe umo!!!!
Kustruggle ni tumbo huwa linauma kwa ajili ya gas tumboni,Leo ni siku ya saba
Hospital walisema yupo ok ila naona kama anastruggle fulani hivi
Teh haya bana