mchakavumlasana
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 389
- 212
- Thread starter
- #21
Kawaida sana, ningeshangaa kama angekuwa anapupu kila siku kumbuka maziwa ya mama yana taka kidogo sana kiasi kwamba kujikusanya mpaka kuipata choo ya kutoka inahitaji muda
Asante kwa ushauri